Inawezekana tu,,,kuwa na cheti feki ina maana nyingi,,inawezekana alimaliza kidato mf cha NNE akashindwa kupata pass za kumwezesha kusoma akipendacho,,akaamua kufanya manuva akapata cheti kingine na kuendelea na masomo,,kufeli haimaanishi huna akili,,kufeli kunaweza kusababishwa na mambo...
Nashukuru kwa kunikumbusha,,,yaani Roma tulikuwa tumemuonea huruma,,ni sawa na wale wanaowaonea huruma wanoigiza kufa kwenye movie,, Roma alifanikiwa pakubwa kuichezea akili ya yangu pakubwa,,,mungu aendelee kumuona hakika
Roma kaudanganya umma,,eti walivaa vitambaa,,waliingia studio huku wanasiraha na wamevaa vitambaa then unakubali kirahisirahisi tuu,,mmmmmmmmmmm hii ni comedy,,
Roma ukimuangalia usoni anapoongelea kutekwa kwake hakuhitaji use na PhD ili ugundue kama anafanya komedi,,najilaumu sana kwa nini nilimuonea huruma niliposikia ametekwa,,kwa ule ukweli Roma mungu anamuona, hakika Roma kuna kitu kakificha,,:eti hajjui walimpeleka wapi,!!?,inamaana eneo...
Wazungu waliileta biblia ili waufanikishe udharimu wao kwa bara la afrika,,@ ndo maana biblia hiyo hiyo inajicontradict kwenye baadhi ya vifungu,,mfano ;;mtakuwa mwili mmoja,,mara ooooohh mume na muke watatengana endapo tu mmoja wapo atakuwa mzinzi,,lakin kipengele cha mzazi na mtoto...
Muke au mume sio ndugu Bali ni rafiki ,,that y kuna kitu kinaitwa talaka,,,# unampa taraka na baada ya taraka unaweza enda oa mama yake au olewa na baba yake simply becoz urafiki wenu umeisha,,but mama au baba hii kitu haipogiiiiiiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.