Vyeti feki: Daktari Mkuu Morogoro akumbwa, ni msomi toka Urusi aliyekaribia kustaafu

Wewe utabaki na kelele tu Serikali haina umakini inakurupuka basi.Wewe ulikuwa unajua kuwa kuna watu wanatumia vyeti fake na umewahi kupiga kelele yoyote??? Sasa hivi wanaume wanaongea na kuchukua hatua na wengine mnaanza kupiga kelele zisizokuwa na msingi wowote!!

Na hii ni awamu ya kwanza awamu ya pili inakuja pia itakayohusu wizara na na mashirika ya umma nao wajiandae tu.

Tatizo letu tumeuziwa vyetu tumenunua na kuombea kazi au kuchomeka ktk mafaili kazini umekuja uhakiki imegundua ni cheti fake.

Wengine hata Chuo alichosoma hajui details zake au shule aliyosoma haijui kabisa ila ameng'ang'ana tu nimesoma Kibasila Secondary lakini hata haijui iko wapi...maajabu kabisa na cheti chenye si chake
Sina shida na uhakiki wa vyeti. Nina tatizo na zoezi kufanywa kiholela, watu kutopewa nafasi ya kujieleza na kukata rufaa kabla majina hajayachapishwa, upuuzi wa kina Bashite kuachiwa na maigizo ya serikali kutaka sifa ionekane inafanya kazi zaidi ya kutaka kutatua tatizo.

Kanuni moja kubwa sana ya uongozi bora ni kwamba, kiongozi hatakiwi kuwataka walio chini yake wafanye kitu ambacho yeye hawezi au hataki kufanya.

Yani ni kwamba, kama kamanda wa jeshi anawataka walio chini yake wapige mbizi kuvuka mto, yeye mwenyewe anatakiwa kuwa mfano kwa kuanza kupiga mbizi na kuwaita wengine wamfuatilie.

Asije kuwaambia wenzake wapige mbizi katika mto ambao hakuna mtu anaweza kuuvuka.

Sasa kwa nini katika zoezi hili tunaletewa ujinga wa double standard, watu fulani wanahakikiwa, kina Bashite wanaachiwa?

Wewe unaona upumbavu huu sawa?
 
Ni
Nani amuonee nani wewe na kwa manufaa gani? Watu wamekuwa wakibadili madaraja kwenye vyeti halisi na kutengeneza vya kugushi kwa index namba zilezile! Isipokuwa kama alikuwa na div four, anaitengeneza kuwa 1, 2, ect ili aendane na sifa za kuingilia aidha chuo ama kazini! Sasa saiv wameanza kupeleka orijino na wanaambiwa sivyo walivyoombea kazi!!!!!!
Nimekusoma mkuu, kumbe ndo ilikuwa janja yao! Hii ni hatari sana aisee
 
Sina shida na uhakiki wa vyeti. Nina tatizo na zoezi kufanywa kiholela, watu kutopewa nafasi ya kujieleza na kukata rufaa kabla majina hajayachapishwa, upuuzi wa kina Bashite kuachiwa na maigizo ya serikali kutaka sifa ionekane inafanya kazi zaidi ya kutaka kutatua tatizo.

Kanuni moja kubwa sana ya uongozi bora ni kwamba, kiongozi hatakiwi kuwataka walio chini yake wafanye kitu ambacho yeye hawezi au hataki kufanya.

Yani ni kwamba, kama kamanda wa jeshi anawataka walio chini yake wapige mbizi kuvuka mto, yeye mwenyewe anatakiwa kuwa mfano kwa kuanza kupiga mbizi na kuwaita wengine wamfuatilie.

Asije kuwaambia wenzake wapige mbizi katika mto ambao hakuna mtu anaweza kuuvuka.

Sasa kwa nini katika zoezi hili tunaletewa ujinga wa double standard, watu fulani wanahakikiwa, kina Bashite wanaachiwa?

Wewe unaona upumbavu huu sawa?
Unaongelea utetezi hupi mkuu? Si waliombwa kupeleka vyeti vyao harisi kuhakikiwa na kuambiwa sababu za kufanya hivyo, ama hawakuambiwa hivyo? Ukishaambiwa hivyo tena kwa maandishi na ukashindwa kudhibitisha kinachofata huwa ni kutoa maamuzi/hukumu. Hukumu ikitoka usiporidhika ndo hii nafasi wamepewa ya kukata rufaa kwa kupeleka tena vyeti vyao. Hakuna udharirishaji hapo, kama unaambiwa peleka vyeti na hupeleki unataka ukaeje kazini wakati wapo mamilioni wenye vyeti na wamekaa benchi, tuache haya mambo ya kitoto ama sivyo tutakuja kuwa na Taifa lisiloheshimu umuhimu wa kuthamini nguvu ya elimu kwa waliosomea. Tusipende kutetea vitu hata maovu ya kiasi hiki, ni hatari sana watu 10,000 na bado uko busy kuwatetea. Aliyesoma apewe heshima yake.
 
Zamani enzi za mwalimu kufaulu kwenda sekondari ilikuwa ishu kwani hazikuwa nyingi,watu walikuwa wakirudi darasa la saba kwa jina la mtu mtoro ,etc na kosa walofanya ni kurudia jina lake halisi wakati akishapata madegree,
ndo uhakiki ulipokuja wamejikutamo,
ndo maana wengi ni wanaokaribia kusitaafu.
Ukiona kijana kanaswa huyo alikwenda kutengeza vyeti kwenye computer maana sikuhizi option ziko nyingi,mashule ya serikali mpaka katani,mashule private mengi uwezekano wa kufaulu ni mkubwa,
hata kurudia shule kwa jina lako halisi sasa sio ishu,zamani ilikuwa marufuku ndo maana walinunua majina,
wangechambua tu wale wa vyeti vya kuunda ndo ilipaswa waondolewe na hawa wazee wangeachwa wamalize tu,wangeenda wana phaseout
Umenena kweli kabisa, mwaka 1991 nilirudia mtihani wa darasa la saba kwa jina la mtu ambaye aliacha shule. Zamani shule za sekondari zilikuwa chache sana. Bahati mbaya sikuchaguliwa tena na nikaenda private
 
Sina shida na uhakiki wa vyeti. Nina tatizo na zoezi kufanywa kiholela, watu kutopewa nafasi ya kujieleza na kukata rufaa kabla majina hajayachapishwa, upuuzi wa kina Bashite kuachiwa na maigizo ya serikali kutaka sifa ionekane inafanya kazi zaidi ya kutaka kutatua tatizo.

Kanuni moja kubwa sana ya uongozi bora ni kwamba, kiongozi hatakiwi kuwataka walio chini yake wafanye kitu ambacho yeye hawezi au hataki kufanya.

Yani ni kwamba, kama kamanda wa jeshi anawataka walio chini yake wapige mbizi kuvuka mto, yeye mwenyewe anatakiwa kuwa mfano kwa kuanza kupiga mbizi na kuwaita wengine wamfuatilie.

Asije kuwaambia wenzake wapige mbizi katika mto ambao hakuna mtu anaweza kuuvuka.

Sasa kwa nini katika zoezi hili tunaletewa ujinga wa double standard, watu fulani wanahakikiwa, kina Bashite wanaachiwa?

Wewe unaona upumbavu huu sawa?
Al-Watan, umenena ukweli kabisa.
 
View attachment 504671



Mara ya kwanza kumfahamu ni miaka kadhaa iliyopita,ambapo ndugu na jamaa yangu wa karibu alipata ajali eneo la Doma Morogoro na kwenda kufia katika hospital ya mkoa wa Morogoro.

Wakati huo,bila ya shaka na kwa uhakika wa karibu,Daktari Mkuu wa Hospital ya Mkoa alikuwa Mahizo.Alituhudumia kwa upole na ukarimu.Mjuzi na mweledi katika fani yake,akitoa ushauri wa kitaalam na hatimaye kutupatia rufaa kwa baadhi ya majeruhi kufika Muhimbili.

Baadae akawa jamaa na rafiki wa hapa na pale sbb ya msaada na majitoleo yake kwa siku ile.Ndipo nilipofahamu kupitia yeye na marafiki zake kuwa amesoma Urusi.Ni daktari mbobezi na mweledi katika fani yake.Huyu alipasua na kutahiri,alipima na kuandika dawa.Ni dokta kwelikweli aliyevuka mipaka mpaka Ulaya ya Mashariki kuitafuta elimu.Msomi wa Urusi,ile Urusi ya Kisoviet ya Mwalimu Nyerere

Sasa naliona jina lake no4972 katika mtiririko wa majina matatu kama mmoja ya wenye "vyeti feki".Najiuliza kwa kunong'ona,huyu aliwezaje kufika chuo?Ilikuwaje mpaka alivuka mipaka,akasoma na kufaulu kwa "cheti feki?"Ilikuwaje akapata madaraka makubwa kwa ngazi ya kada yake bila kujulikana?Iweje akawa "bingwa"?akapasua na kutahiri bila "cheti orijino?"

Mwaka huu alikuwa astaafu na aendelee na mambo yake,fagio la JPM limemkumba.Najiuliza iliwezekanaje mpaka kufikia huko juu bila kugundulika?Hili la vyeti limetushangaza wengi,lkn limetufunza pia...

Inawezekana tu,,,kuwa na cheti feki ina maana nyingi,,inawezekana alimaliza kidato mf cha NNE akashindwa kupata pass za kumwezesha kusoma akipendacho,,akaamua kufanya manuva akapata cheti kingine na kuendelea na masomo,,kufeli haimaanishi huna akili,,kufeli kunaweza kusababishwa na mambo mengi,,,kuna watu cheti cha FM 4 ni feki lakini hadi MA vyeti in vyake na ni vizuri kabisa,,@# ktk hili mf Hutu Dr wetu in bora serikali ikaangalia uwezo wake ktk kufanya kazi na cheti,,cheti hakina tija kama kazi zake zina ufanisi,,
 
Hili zoezi madudu matupu mwanzo mwisho. Watanzania wengi watakuwa wameonewa katika zoezi hili. Hata kuhakiki vyeti tu Serikali imeshindwa! Sijui ni mabilioni mangapi yameyeyuka kwenye hili zoezi na walichukua toka fungu lipi.
Mkuu BAK watu hakuonewa watanzania tulizidi kupenda njia ya mkato.kama huku afya watu wengi wamebadilisha matokeo ya kidato cha nne,na wengi walikuwa ward atendant ameenda kusoma nursing assistant then anafoji cheti cha clinical officer.siku zao zimefika acha waende tu waje wenye vyeti vya elimu na taaluma vya halali.
 
Hapa kuna ukiritimba fulani wa serikaliumefanyika watu kibao wameaibishwa kwamba wana vyeti feki wakati tatizoni mfumo tu umekaa haueleweki.

Mtu kaolewa, kabadili jina, hajafuata sijui mchakato gani, serikali badala ya kujiridhisha imemlundika kwenye wenye vyeti feki.

By the time ana clear jina lake kashaanikwamitandao yote.

Siiamini serikali hii ambayo inateua watu bila kuwafanyia uhakiki wala mahojiano kwamba inaweza kupitia watu karibu 10,000 kwa umakini unaotakiwa.
Wengi walikuwa wajua mwezi mmoja kabla.hakuna ukiritimba wala nini afya walizidi jamani hasa serikali kutoa agizo bila masomo ya sayansi hupati chuo au bila cheti cha kidato cha nne hupati ajira hapo ndio vyeti feki vilianza kuongezeka.
 
Kuna Doctor hapa morogoro alikuwa analalamikiwa sana kuwa amefoji veti tena alikuwa namcheo, ila pamoja na kulipotiwa/kelele zote lakini hakuna kilichofanyika, sasa nazani atakuwa ni yeye.
Hapana siyo yeye Dr Mahizo hakuwai kulalamikiwa alishakuwa DMO.Sengerema,Morogoro Manispaa,Morogoro vijiji halafu akashushwa cheo akawa daktari hospital ya mkoa morogoro.Dr alikuwa mtendaji mzuri sijui alikosea wapi ktk hivyo vyeti vyake kabla ya kwenda ulaya kusoma alikuwa medical laboratory techician.
 
Unajua mungu ndio mtoa hukumu ya haya yote ila najua mungu tunae muabudu ndio final say
 
Kwa hiyo mtu mfanane jina, na mwaka mliosoma shule, na shule msome moja, wote mfanye mtihani pamoja, halafu msijuane?

Serikali kukimbilia kuchapisha majina bila ya kufanya uchunguzi wa kutosha utakaohakikisha hakuna innocent victims ni kukurupuka kwa hali ya juu kunakoonyesha serikali haina umakini.

Hayo yote uliyoandika hapo juu umeyaonea wapi!? mimi nimeona ile yenye majina na sehemu ya kazi. Kama wamerusha zenye ya zaidi basi nimepitwa, nirushie nijionee. Au umeenda kuangalia vitabu kujionea zaidi?

Naona umeguswa haswa na umeumbuka juu ya jina.
 
Ukitoa taarifa vyeti bimepotea polisi kuna mfumo gani wa kuzuia vyeti hivyo visitumike?

Mfumo huo unatumia database gani?

Database hilo likekuwepo kwa muda gani?

Kwa nini unafikiri mtu kutumika vyeti vyake pasi na yeye kujua ni lazima viibiwe hivyo?

naona mmekomaa kutetea ujinga cheti sio pesa kikipotea utafanya kazi na upate kingine ni maisha yako maana ni msingi wa ajira yako sasa wew cheti kinapotea unakaa kimya tu kisa hakana mfumo huko wa kuttrace kama umeripot , huo ndo ubashite wenyewe , ukiripoti police halafu necta lazima waweke kumbukumbu kuhusu cheti hicho kilichopotea , hata baada ya miaka 20 mbele hilo liko wazi kabisa
 
Nani amuonee nani wewe na kwa manufaa gani? Watu wamekuwa wakibadili madaraja kwenye vyeti halisi na kutengeneza vya kugushi kwa index namba zilezile! Isipokuwa kama alikuwa na div four, anaitengeneza kuwa 1, 2, ect ili aendane na sifa za kuingilia aidha chuo ama kazini! Sasa saiv wameanza kupeleka orijino na wanaambiwa sivyo walivyoombea kazi!!!!!!

Hii kali i see
 
Inawezekana tu,,,kuwa na cheti feki ina maana nyingi,,inawezekana alimaliza kidato mf cha NNE akashindwa kupata pass za kumwezesha kusoma akipendacho,,akaamua kufanya manuva akapata cheti kingine na kuendelea na masomo,,kufeli haimaanishi huna akili,,kufeli kunaweza kusababishwa na mambo mengi,,,kuna watu cheti cha FM 4 ni feki lakini hadi MA vyeti in vyake na ni vizuri kabisa,,@# ktk hili mf Hutu Dr wetu in bora serikali ikaangalia uwezo wake ktk kufanya kazi na cheti,,cheti hakina tija kama kazi zake zina ufanisi,,


Kwa nini tuhangaike na hawa wahalifu badala ya kuwapeleka mahakamani atakayeshinda kesi arudishwe kwa amri ya mahakama?

Hawa ndio walikua wanasababisha huduma zote za serikali ziwe zinalalamikiwa kuwa ni mbovu.

Mtu anayefoji cheti haishii hapo tu atakua ana ujasiri wa kufoji na kunua X - ray chakavu ili apate pesa. Hawa watu tusipoteze muda wa kuwatetea.
Walikua na nafasi ya kurudia mitihani ili wasome digrii lakini kutokana na tamaa zao wakaamua kufoji vyeti ili waonekane wana sifa kuliko wale walioko nje na wao wakapewa vipao mbele.
Matokeo yake ndio hayo wanapoteza ajira.

Wataalam Wengi wanakosa ajira huku serikali ikijua kuwa inawataalama wa kutosha kumbe wengine ni vilaza.

Bora Mh. Rais amaeshtuka nadhani wataajiriwa watu mahiri na wataalam wa ukweli.
Kuna watu wakati wakiwa sekondari wao ni uhuni uhuni tu ,kuvuta bangi ,ulevi na kufanya fujo tu huku wenzao wanaotokea kwenye familia maskini wakiwa wanakesha darasani ili waje kulitumikia taifa kwa utiifu na uaminifu halafu wale waliokua wanapuuza masomo wanakuja kupewa ajira za mezani na kufoji vyeti ili wawe wakuu wa idara huko makazini.

Tunahudumiwa na watu wengi wasio na rikodi za uadilifu na utiifu.
Kupata ziro ni dalili ya ukorofi na kutokuzingatia kilichompeleka mwanafunzi shuleni. Lakini pia kufoji cheti tena mtu akiwa tayari ameshapata ajira ni ufisadi namba moja na kukosa uvumilivu na uaminifu.

Serikali isiwaache hawa watu mitaani watazidi kutupigia kelele wapelekwe mahakamani ili tufunge huu mjadala kisheria kabisa na watakaothibitika kuwa wamefoji basi wakatibu wahalifu wenzao huko gerezani.
 
Mama chupaki umeeleza vizuri na ukweli huyo dr ni family friend wetu ulichoeleza ni kweli, inasemekana cheti chake cha form 4 alikimisplace somewhere alipokuwa Romania siyo Urus alisoma Romania alikitafuta kwenye documents zake hakukiona kwa kuwa kulikuwa hakuna mazoea ya kukaguliwa siku za nyuma hakuwa na hofu kama hakipo hivyo anahisi kilipotelea huko Romania
 
Hayo yote uliyoandika hapo juu umeyaonea wapi!? mimi nimeona ile yenye majina na sehemu ya kazi. Kama wamerusha zenye ya zaidi basi nimepitwa, nirushie nijionee. Au umeenda kuangalia vitabu kujionea zaidi?

Naona umeguswa haswa na umeumbuka juu ya jina.
Nimeguswa kwa sababu naona ujinga unatawala na watu wanashangulia.

Kuna mtu Kigoma hafanyi kazi serikalini na hajawahi kufanya kazi serikalini lakini kaona jina lake kwenye list ya waliofoji vyeti. Follow the discussion.

Kwa tunaoheshimu faragha za mtu binafsi hii ni kashfa.

Nimeumbuka? Kivipi?

Mimi sijasoma Chuo Kikuu bongo. Sijawahi na wala sitakuja kufanya kazi serikalini bongo. Kwetu hatukwenda kusoma chuo tu ulaya, wengine wameenda kusoma sekondari ulaya.

Na upande wa Bi Zuhra ndiyo kabisa, wamesoma Swiss boarding schools na kina Kim Jong Un huko.

Sasa nilichoumbuka kipi?

Au ukiona mtu anapinga ujinga on philosophical grounds unashindwa kuelewa kwamba mtu anaweza kupinga kitu purely on philosiphical grounds?
 
naona mmekomaa kutetea ujinga cheti sio pesa kikipotea utafanya kazi na upate kingine ni maisha yako maana ni msingi wa ajira yako sasa wew cheti kinapotea unakaa kimya tu kisa hakana mfumo huko wa kuttrace kama umeripot , huo ndo ubashite wenyewe , ukiripoti police halafu necta lazima waweke kumbukumbu kuhusu cheti hicho kilichopotea , hata baada ya miaka 20 mbele hilo liko wazi kabisa
Naona hata kusoma hujui.

Si ajabu ukatetea ujinga na kusema wengine wanatetea ujinga.
 
Back
Top Bottom