Ally Kessy mbunge wa Nkasi acharuka, agoma kuchangia 30,000

Wabunge waliombwa kumchangia mtanzania kwa jina Tz Super model kila mbunge akatwe Tz shilingi Elfu thelathini 30,000 ndipo mbunge wa Nkasi, Ally Kessy akapinga vikali yeye kukatwa pesa hiyo na kutishia kuwa endapo akikatwa pesa hiyo ataenda kushitaki mahakamani!

My take:
kwa hili Kessy huna uzalendo, ni jambo la kitaifa inabidi tuungane, 30,000. Sio ya kukutoa povu kwa kiwango hicho kama mbunge mwenye kipato cha kukutosha
Kukosa uzalendo ni kutochangia michezo au kutochangia njaa....maswali ni Kizungumkuti lakini majibu ni buruga tupu
 
Huyo Tz super model ndo nani kwanza?
hata ingekuwa ni mimi nisingechangia huo uchuro
 
Anaitwa super model Asha Mabula

Anatakiwa kuiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya urembo na mitindo yatakayofanyika hivi karibuni nchini China!
Kwani waliomchagua hawana nauli ya kumpeleka kupiga huo umalaya huko China? Kuna Watanzania wengi wenye kuhitaji misaada hlf utoe pesa ya mtu kwenda kugegedwa Uchina..!!
 
Mtoa post maelezo yake hayana mashiko, hatuna sababu ya kupiga kelele nae, kwa kifupi mtoa post hajitambui, alitakiwa atueleze sababu ya huyo mrembo kuchangiwa pesa na hasa madhumuni ya safari yake je ni matibabu au kutembea au kwenda kuuza poda?
 
Wabunge waliombwa kumchangia mtanzania kwa jina Tz Super model kila mbunge akatwe Tz shilingi Elfu thelathini 30,000 ndipo mbunge wa Nkasi, Ally Kessy akapinga vikali yeye kukatwa pesa hiyo na kutishia kuwa endapo akikatwa pesa hiyo ataenda kushitaki mahakamani!

My take:
kwa hili Kessy huna uzalendo, ni jambo la kitaifa inabidi tuungane, 30,000. Sio ya kukutoa povu kwa kiwango hicho kama mbunge mwenye kipato cha kukutosha
Ni vema unapitaka kupost jambo ukatoa ufafanuzi kwa sehemu.You have posted a hanging statement, tulia after law kama ni kuchangia yapo mengi nami pia naungana na huyo kesi yuko sahihi.
Je kama wangekuwa hawana akaunti zao za mishahara wangewakatia wapi?.
 
Ni baada ya kuomba mchango wa safari ya kwenda China.Lissu amedai hana pesa ya kuchanga kwani ana majukumu mengi jimboni.Naye mbunge Kessy alidai endapo posho yake iakatwa kcmchangia mrembo huyo atalishtaki bunge mahakamani.Ilipendekezwa kila mbunge amchangie mrembo Asha sh 30,000.Chanzo gazeti Mwananchi
bado habari haieleweki wewe, una vyeti kweli wewe? Mrembo kafanyaje, anaenda China kwa matibabu au kupigwa pumbu?
 
Kwani walioandaa hilo au hiyo safari walitegemea fedha kutoka wapi? Kama ni sanaaa au michezo mwakyembe si yupo hapo wamwambie atoe. Hali ngumu hela hazitshi.
 
Anaitwa super model Asha Mabula

Anatakiwa kuiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya urembo na mitindo yatakayofanyika hivi karibuni nchini China!
Tanzania imchangie sasa. Si ndio anaiwakilisha. Alafu hawa wawakilishi siku zote hakuna la maana wanalorudi nalo huku tofauti na malalamiko ya kuonewa huko. Waandaji kwa kushirikiana na wizara toeni hela. Si wapo wale wanaokabidhi bendera watoe sasa
 
Ni baada ya kuomba mchango wa safari ya kwenda China.Lissu amedai hana pesa ya kuchanga kwani ana majukumu mengi jimboni.Naye mbunge Kessy alidai endapo posho yake iakatwa kcmchangia mrembo huyo atalishtaki bunge mahakamani.Ilipendekezwa kila mbunge amchangie mrembo Asha sh 30,000.Chanzo gazeti Mwananchi
Hizi habari mnazileta nusu nusu kama bongo muvi, hebu fungukeni. Maana mpaka sasa nahisi msimamo wangu ungekuwa kama wa Kessy
 
Kumbe jambo lenyewe la kipumbavu. Huyo binti afundishwe kuvaa nguo za heshima na apewe jembe akalime. Tuna mambo mangapi yenye kuhitaji fedha leo hii tukachangie binti yetu kwenda kuonesha mapaja as if wenyeji huko hawana mapaja...pambaf!

Na usikute kenyewe kalikuwepo hapo bungeni kanarembuarembua as if hakana wazazi!
 
Hata Mimi ninewaambia wakinikata tu Pesa basi ndio itakuwa mwisho wao kunikata PAYE na 15% ya HESLB.
 
Ni baada ya kuomba mchango wa safari ya kwenda China.Lissu amedai hana pesa ya kuchanga kwani ana majukumu mengi jimboni.Naye mbunge Kessy alidai endapo posho yake iakatwa kcmchangia mrembo huyo atalishtaki bunge mahakamani.Ilipendekezwa kila mbunge amchangie mrembo Asha sh 30,000.Chanzo gazeti Mwananchi
Hata Mimi Nisingechangia Ujinga Huo Kuna Watu Wanauhitaji Wa Lazima Wagonjwa,walemavu,yatima Etc
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom