Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,858
- 7,620
Nendeni kwenye page ya Mange Kimambi mkapate funzo la ma gap ya umri ktk ndoa
Hivi mtu huwa anaoa kulingana na ushauri wa watu au mapenzi ya dhati kwa huyo muhusika wake.!?Mimi ni kijana nina miaka 28 kunabinti wa miaka 27 nimempenda vipi nikimuoa itakuwa sawa? Naombeni ushauri.
Wenyewe wanasema kwamba wanawake tunawahi kuchoka! Eti uzazi na blah blah nyingine lkn ukiwa na pesa zako ukajali diet na mazoezi wote mtakua vijana tu kama dai na ZariHivi hiki kigezo cha wanaotaka kuuona wawe na gap kubwa mantiki yake hua siielewi kwan kukiwa na gap dogo LA miaka shida iko WAP???? Au Kama mkilingana kabsa miaka shida nn???....na ukizingatia mnapendana....
Si unajua tena bestUmenifanya nicheke mwenyewe eti ligi za pembeni
Mimi ni kijana nina miaka 28 kunabinti wa miaka 27 nimempenda vipi nikimuoa itakuwa sawa? Naombeni ushauri.
Sio kweli, wewe muoe tu. Hata kama akiwa na miaka 30.Kama unapenda ngono unaweza, kama unawaza mapenzi unaweza pia, ila kama unataka maisha achana nae......,
Jitahidi gap iwe kubwa kidogo minimum 5 yrs difference
DuhTatizo nini?haipiti?
HaahahaMimi nina 30 nimeoa wa 39...Huu mwaka wa 4 unaisha mpaka shikamoo napewa!
Hata mwanamke wa miaka 40 mbona unawezaMimi ni kijana nina miaka 28 kunabinti wa miaka 27 nimempenda vipi nikimuoa itakuwa sawa? Naombeni ushauri.
Usimdanye mwenzio aoe hao pasua kichwaUtamuitaje mkizeeka?
Mke wa ujana wako au yeye atakuita mume wa ujana wangu?
Tafuta dogo dogo ufaidi wewe achana na hayo masosombwisosombwi yaliyochoka utapata ngiri a.k.a chango
Mnachepuka mbn na ndani mnatuachia warembo wakali....sema kushare kawaida. oa aliyekufataInasemekana mwanamke anawai kuzeeka,tofauti na mwanaume kiasi kwamba ukioa unaelingana nae yeye atawahi kufikia ukomo wa kutokufanya mapenzi wakt ww ukiwa na nguvu zako zote...ishu itakuja kila ukitaka akuridhishe inashindikana na kuweza kukufanya ww kuchepuka kutembea na vibinti
So ukiwa hauna pesa je.?Wenyewe wanasema kwamba wanawake tunawahi kuchoka! Eti uzazi na blah blah nyingine lkn ukiwa na pesa zako ukajali diet na mazoezi wote mtakua vijana tu kama dai na Zari
Achana nae atakuzeekea ndani huyo....tafuta chungu cha miaka 23 au 24Mimi ni kijana nina miaka 28 kunabinti wa miaka 27 nimempenda vipi nikimuoa itakuwa sawa? Naombeni ushauri.
Yaani hata umuoe wa miaka kumi na mbili 12 Kama anajiweka rafu. Ukimlinganisha na miaka 30,bado utaona wa 30 anavutia. Ni matunzo tu. MbonaIla wakati mwingine vibinti vinavutia sana kwenye ndoa.maana ukutoka kwenye mihangahiko yako unakuta sura yakuvutia home.wakina mama wazee wanakera sana na misura yao ya uzee na misauti minene hasa watoka mbeya
UntrueInasemekana mwanamke anawai kuzeeka,tofauti na mwanaume kiasi kwamba ukioa unaelingana nae yeye atawahi kufikia ukomo wa kutokufanya mapenzi wakt ww ukiwa na nguvu zako zote...ishu itakuja kila ukitaka akuridhishe inashindikana na kuweza kukufanya ww kuchepuka kutembea na vibinti
Kwanini roho ikuume tena?Nimemzidi umri pia lakini mambo poa ila kuna wakati nijisahau tukiwa tunabishana ninamwmbia 'hembu nyamaza' ananyamaza kweli baadae roho inaniuma.
Safi.Nilipokutana nae nilimuuliza anahisi nina umri gani akaniambia 28, mhh wewe mbona huko nilikuwa zamani sana nilijesemea moyoni. Lakini halikuwa linanipa Amani, siku nilipomwambia umri wangu alishtuka sana, akasema inamaana wewe ni mkubwa kuliko kaka yangu wa kwanza? Alijitafakari sana baadae alirudi. Ukweli umeniacha huru sasa hivi ninaweza kuweka passport yangu hata juu ya meza.