Naomba mnisaidie sehemu au mwongozo wa written interview Kada ya supplies officer II hii ndio mara ya kwanzq kuitwa kwenye interview .Naomba mniambie mambo ya kusoma .
Kuna jambo lakusikitisha sana mpaka sasa.Tangia Corona ianze posta wamezui kutoa na kusambaza mizigo kwenda mikoani sababu ya korona
Watu wengi mnatuasili sana sana
Tunaomba posta makao Makuu
Msambaze mizigo yote iliyopo huko
Maisha lazima yaendelee
Mizigo yote iliyopo huko tunaomba isambazwe...
Habari za leo wana JamiiForums
Awali ya yote naamini kila mtu anaendelea na majukumu yake kama kawaida pia kuwa mwangalifu na kujikinga na ugonjwa wa Corona
Naomba nisiwachoshe leo nilikuwa napenda mnieleweshe au kama kuna watu wameshashiriki semina ya Pesa Heshima Mjini ambapo mpaka sasa...
Habari za leo wakuu wa Jamii Forum,
Nimatumaini yangu kuwa mnaendelea na harakati za kutafuta maisha ,nilikuwa naomba kama kuna mtu anafahamu chuo chochote mtu anaweza kusomea mambo haya:
Videography
Videoediting
Photograph
Graphic design
Hata kama unafahamu pia mitandao inayoweza kumpa mtu...
Kwa siasa za Tanzania amabazo sio za kistarabu kabisa yaani za uchafuzi naamini tunaenda kupata vikwazo vya uchumi ambavyo vitatuathiri hata watu wengine tusio na kosa sababu ya wajinga wachache
1 waraka wa Marekani uliotolewa leo umeenda sambamba kupwiga ban Mkuu wa Mkoa kwa hiyo Marekani...
Mimi ni kijana mjasiriamali mdogo pia nimebahatika kisoma mpaka chuo kikuu
Nikatafuta kazi kwa miaka miwili hola sasa nimeamua kujiajiri hapa kwa kufanya biashara mdogo ndogo
Pia nilikuwa nalengo za kuzamia huko majuu kwa sababu biashara ndogo ndogo nayofanya naona hanilipi pia nimebahatika...
Hapa JamiiForums kumekuwa na nyuzi nyingi sana zikiwashambulia sana wahitimu wa Vyuo Vikuu maarufu kama 'Graduates' kuwa wanafeli maisha. Hebu leo tujiulize.
Je, vijana ambao wako mtaani hawajafanyikiwa kusoma chuo au kufika mpaka chuo kikuu wamefanikiwa sana au la?
Leo tuanze kwa...
Habari za Leo Wadau wa Jamii Forum
Tukiachana nayoye tumekuwa tukipata habari mbalimbali kuhisu jamii Forum kuhisu Majuu Ulaya(Marekani) Kapan wati wakielezea maisha ya huko njisi yalivyo pia kumekuwa na mchuano Mkali sana kwa sasa kuhusu maisha huko Majuu ambapo tumepata mawili matatu kuhusu...
Kutokana hili tatizo la ajira kuzidi kuongezeka hapa nchini na kuacha baadhi ya Graduate wakizagaa tu mtaani, kuzurula mtaani, kukaa nyumbani tu naomba mtu anisaidie kutupa njia au mbinu mlizotumia kuweza kujiajiri.
Graduate wengi sana wapo mtaani kwa sasa hawajaweza kujiajiri, wengine bado...
Nilikuwa naomba kama mtu yoyote au watanzania ambaye amebahatika kufahamia na wajapan .Au kusihi Japani
Anisaidie ABC za hawa watu .
Kuhusu jinsi wanavyowachukulia Waafrika ukiwa unazungumza nao uso kwa uso unatakiwa uzingatie nini zaidi?
Maisha kwa ujumla wanapendelea nini zaidi ? Mengineyo ...
Habari Leo wadau Wa Jamii Forum
Je kuna mtu yoyote anataarifa kuwa watu walishaitwa kwenye Nafasi internship Uongozi institute
Ambapo walisema watakao Fanya vizuri baada ya internship watapata Nafasi za kazi(wataendelea na kazi )
Kwa Muda Mrefu hili swala limekuwa Changamoto kubwa sana linalowakumba watu wengi kutoitwa kwenye usaili wanapotuma Maombi Je ni nini kinasababisha hili swala ?
Je kutokujua kuandika barua Vizuri ya kumvutia HR ?
Je Tatizo ni uandishi WA CV ?
Je ni nini kitu cha muhimu zaidi kinahitaji...
Nimekuwa nikitibiwa Mara Mara hapa Regency ila naendelea kumwa tena. Kila nikiugua huwa naenda kutibiwa hapo ila Tatizo lipo kwenye vipimo
Kila nikifanya vipimo mwanzo huwa sikutwi na ugonjwa wowote daktari ananiandikia dawa naenda kutumia ila siponi. Nikirudi tena kutibiwa nikiwa hoi naishia...
Kwa wale tulio soma somo la ujasiriamali chuoni nadhani wengi mnafahamu jinsi ujasiriamali unafundiahwa chuo yaani hakuna vitendo
Awali ya yote nilikuwa naomba watu wenye ufahamu wa kuandaa business plan (Mchanganuo wa biashara ) mnisaidie mm nauwasaidie wengi ,kuhusu kuandaa business plan (...
Kuna Taarifa kutoka kituo cha Habara (ITV) inaonesha jamaa Mmoja Mpangaji alikuwa anaweka ndani uchafu (takataka) hii swala lina niacha na maswali mengi sana ?
Kwa wale unaofahamu maswala haya hebu naombeni utusaidie kwenye hili tukio na mtu kuweka takataka ndani ya chumba
Je linahusiana na...
Habari za Leo Wanajamii Forum ,Naomba kwa wote ambao mpitia interview za Utumishi ,Mtusaidie basi kuhusu maswali yanayoulizwa kwenye interview za utumishi kada ya procurement ,Vyeti gani ni muhimu zaidi vinavyohitajika ili mtu aweze kuitwa kwenye interview , na mambo muhimu zaidi ya kujiandaa au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.