Mayor Slum
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 751
- 1,121
Kuna Taarifa kutoka kituo cha Habara (ITV) inaonesha jamaa Mmoja Mpangaji alikuwa anaweka ndani uchafu (takataka) hii swala lina niacha na maswali mengi sana ?
Kwa wale unaofahamu maswala haya hebu naombeni utusaidie kwenye hili tukio na mtu kuweka takataka ndani ya chumba
Je linahusiana na swala la ushirikina?
Au ni nini kinachangia watu kufanya hivi kuweka takataka kwenye chumba ?
Matatizo ya Akili?
Najiuliza maswali kuhusu swala hili ila sipati Majibu.
Inawezekanaje Mtu Mwenye akili timamu aweke takataka kweli kwenye chumba?
Nimebaki nafikiria ila sipati majibu,Mtu kuweka takataka kwenye chumba haiwezi kweli kuleta madhara kwa watu wengi hasa majirani kupatwa na
Magonjwa
Harufu Mbaya
Au Mtu anakuwa Mwehu alafu anapangishwa Nyumba, anakua anaishi na uchafu?
Yaani mtu analeta kazi zisizo za lazima kwa majirani watu kuanza kutoa (kuzoa ) taka alizo weka Mwenye
Hili tukio ni la maajabu sana aseh ?Najiuliza sipati hata majibu ?
Kwa Mnaofahamu hili linachangiwa na nini ebu tuambie au mliowahi kukutana na hili swala .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wale unaofahamu maswala haya hebu naombeni utusaidie kwenye hili tukio na mtu kuweka takataka ndani ya chumba
Je linahusiana na swala la ushirikina?
Au ni nini kinachangia watu kufanya hivi kuweka takataka kwenye chumba ?
Matatizo ya Akili?
Najiuliza maswali kuhusu swala hili ila sipati Majibu.
Inawezekanaje Mtu Mwenye akili timamu aweke takataka kweli kwenye chumba?
Nimebaki nafikiria ila sipati majibu,Mtu kuweka takataka kwenye chumba haiwezi kweli kuleta madhara kwa watu wengi hasa majirani kupatwa na
Magonjwa
Harufu Mbaya
Au Mtu anakuwa Mwehu alafu anapangishwa Nyumba, anakua anaishi na uchafu?
Yaani mtu analeta kazi zisizo za lazima kwa majirani watu kuanza kutoa (kuzoa ) taka alizo weka Mwenye
Hili tukio ni la maajabu sana aseh ?Najiuliza sipati hata majibu ?
Kwa Mnaofahamu hili linachangiwa na nini ebu tuambie au mliowahi kukutana na hili swala .
Sent using Jamii Forums mobile app