Mayor Slum
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 751
- 1,121
Kuna jambo lakusikitisha sana mpaka sasa.Tangia Corona ianze posta wamezui kutoa na kusambaza mizigo kwenda mikoani sababu ya korona
Watu wengi mnatuasili sana sana
Tunaomba posta makao Makuu
Msambaze mizigo yote iliyopo huko
Maisha lazima yaendelee
Mizigo yote iliyopo huko tunaomba isambazwe kwa sasa ni athari kubwa sana tunapata sisi wateja wenu
Watu tunakosa hiduma kwa sasa aseh
Fanyeni kazi maisha lazima yaendelea bana Rudisheni huduma sambazeni mizigo Mnatuangusha aseh
Watu wengi mnatuasili sana sana
Tunaomba posta makao Makuu
Msambaze mizigo yote iliyopo huko
Maisha lazima yaendelee
Mizigo yote iliyopo huko tunaomba isambazwe kwa sasa ni athari kubwa sana tunapata sisi wateja wenu
Watu tunakosa hiduma kwa sasa aseh
Fanyeni kazi maisha lazima yaendelea bana Rudisheni huduma sambazeni mizigo Mnatuangusha aseh