Mayor Slum
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 751
- 1,121
Mimi ni kijana mjasiriamali mdogo pia nimebahatika kisoma mpaka chuo kikuu
Nikatafuta kazi kwa miaka miwili hola sasa nimeamua kujiajiri hapa kwa kufanya biashara mdogo ndogo
Pia nilikuwa nalengo za kuzamia huko majuu kwa sababu biashara ndogo ndogo nayofanya naona hanilipi pia nimebahatika kusoma nyuzi humu za kuhusu kuzamia majuu nimevutiwa sana hasa baadhi ya watu humu walinimotivate sana kwenye uzi moja na mimi huwa nikiona fursa silali mbali kichwa kinaanza kusaka mchongo na shauku ya kufanya hicho kitu
Sasa juzi nimebahatika kufahamia na mbibi mmoja huko fb baada ya kuwa marafiki nikaona sms inakuja anasema amevutiwa na issue nazo fanya yaani kuhusu swala la maisha na biashara ndogo ndpgo .Nikamshukuru sana nikwambia asante ila sms anayofata nikashangaa ananiambia
Can i ring you?
Nikashutuka nikatulia sijamjibu kitu
Pia nimechunguza nimeona nayeye afanya maswala.ya ujasiriamali pia kaajiriwa yuko divorced na anamtoto mmoja mdogo ila ni mrembo
Sasa nimekuja humu naomba ushauri kidogo lengo langu kubwa hapa kama huu unaweza kuwa mwanya wa kuzamia majuu nikasake maisha
Sasa naomba mnishauri hapa
Huyu mbibi anavyoniambia Can i ring you ? Ndio anataka nini for sure anipe mwanya nizamie majuu au anivishe pete tuwe wachumba niende majuu japokuwa nimrembo ila mimi kudate na mtu (mbibi) alienizidi umri duuh naona kama laana tu ila sababu ya ugumu maisha nafikiria kokamaa nizamie
Au nimkatalie nimwambie tuwe marafiki nimwambie anifanyie mpango nipate kazi au scholarship au chuo chochote cha course ya kuzuga zuga au kwenye masemina anayofanya iliniweze kwenda huko mambo yakiwa sawa naondoka na kwake kabisa
Wajanja na mliofanyikiwa kuzamia majuu ebu naombeni mnipe akili zaidi hapa nifanye nini ??
Pia hata nikienda UK mimi nikishapata visa na kusoma ramani ajue tu nitakula kona moja matata sana
Hapa bongo nimekaa ajira hakuna miaka miwili.sasa nipo kitaa napata hela kidogo sana kwenye biashara hata kupiga hatua naona hakuna na dharaulika tu na kisoma kwangu
Na Mzee Magu kabana sana mtu unatumia miaka 17 kusoma.ukija mtaani unaanza upya tena na umri unakimbia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikatafuta kazi kwa miaka miwili hola sasa nimeamua kujiajiri hapa kwa kufanya biashara mdogo ndogo
Pia nilikuwa nalengo za kuzamia huko majuu kwa sababu biashara ndogo ndogo nayofanya naona hanilipi pia nimebahatika kusoma nyuzi humu za kuhusu kuzamia majuu nimevutiwa sana hasa baadhi ya watu humu walinimotivate sana kwenye uzi moja na mimi huwa nikiona fursa silali mbali kichwa kinaanza kusaka mchongo na shauku ya kufanya hicho kitu
Sasa juzi nimebahatika kufahamia na mbibi mmoja huko fb baada ya kuwa marafiki nikaona sms inakuja anasema amevutiwa na issue nazo fanya yaani kuhusu swala la maisha na biashara ndogo ndpgo .Nikamshukuru sana nikwambia asante ila sms anayofata nikashangaa ananiambia
Can i ring you?
Nikashutuka nikatulia sijamjibu kitu
Pia nimechunguza nimeona nayeye afanya maswala.ya ujasiriamali pia kaajiriwa yuko divorced na anamtoto mmoja mdogo ila ni mrembo
Sasa nimekuja humu naomba ushauri kidogo lengo langu kubwa hapa kama huu unaweza kuwa mwanya wa kuzamia majuu nikasake maisha
Sasa naomba mnishauri hapa
Huyu mbibi anavyoniambia Can i ring you ? Ndio anataka nini for sure anipe mwanya nizamie majuu au anivishe pete tuwe wachumba niende majuu japokuwa nimrembo ila mimi kudate na mtu (mbibi) alienizidi umri duuh naona kama laana tu ila sababu ya ugumu maisha nafikiria kokamaa nizamie
Au nimkatalie nimwambie tuwe marafiki nimwambie anifanyie mpango nipate kazi au scholarship au chuo chochote cha course ya kuzuga zuga au kwenye masemina anayofanya iliniweze kwenda huko mambo yakiwa sawa naondoka na kwake kabisa
Wajanja na mliofanyikiwa kuzamia majuu ebu naombeni mnipe akili zaidi hapa nifanye nini ??
Pia hata nikienda UK mimi nikishapata visa na kusoma ramani ajue tu nitakula kona moja matata sana
Hapa bongo nimekaa ajira hakuna miaka miwili.sasa nipo kitaa napata hela kidogo sana kwenye biashara hata kupiga hatua naona hakuna na dharaulika tu na kisoma kwangu
Na Mzee Magu kabana sana mtu unatumia miaka 17 kusoma.ukija mtaani unaanza upya tena na umri unakimbia tu
Sent using Jamii Forums mobile app