Kumbe nutrition ni maganda na ukubwa wa yai siku hizi. Unajielewa kweli mkuu
Ukisikia mayai ya kisasa ni ya kisasa kweli yaani unakula kemikali tupu mkuu lakini ukisikia mayai ya kienyeji ni kienyeji yaani ni natural tupu mkuu.
Hata mimi ningekukimbia kinyesi ndugu yangu
Hivi kumbe bado kuna watu wanakuwa wababa wazima hawajatailiwa? Kwamba mila?,Elimu yako ni Elimu gani mkuu inaonekana upo kienyeji sana.
Ni series sio muvi na ni break sio brake
By the way
Prison break ni kitu cha kipekee hakuna mfano wake, zitakuja nzuri lakini Prison break itaendelea kusimama
Tangia lini tena tunafananishana as long as policy za nchi zinatofautiana! Tunashea jina shillingi lakini pesa zetu hazifanani, kama hisa kwenu ni biashara iliyojuu, umewahi kuchunguza ya Tanzania? And also is Safaricom related to Vodacom in any business matters?
Feel free to feel what you feel, it's good for health.
Never stay in a toxic relationship no matter what, hata kama ni mtoto, tafuta njia ambayo ataweza exist bila we kuumia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.