Tafuta biomedical engineers wa kazi hizo, kwa baadhi ya vifaa kama xray za phillips huwa na mafundi wao, anyway kama unamiliki hosp au kifaa husika sio rahisi kujiuliza swali kama lako
https://edition.cnn.com/2024/04/18/middleeast/isfahan-iran-explosion-intl-hnk/index.html?Date=20240419&Profile=CNN+Breaking+News&utm_content=1713495549&utm_medium=social&utm_source=twitter
Inasemekana military base imekuwa hitted huko Iran asubuhi hii,
Inawezekana kabisa provided huyo mwathilika yuko na viral suppression, zamani ilikuwa ngumu kujua nani ana viral suppression na nani bado ana kopi nyingi ya virus kwenye damu yake mpka ilipokuja kipimo cha Viral load, mteja mwenye majibu ya TNG yaani target not detected maana yake hana free...
Juzi nilikuwa ifakara huko nimekutana na mama mmoja amefanya sana kazi bank kwa sasa anafuga mno, nimemkuta na kitimoto kama 2000 hivi na kuku zaidi ya 4000
JE WAJUA HAYA KUHUSU TANGA?
1. Reli ya Kwanza Tanzania Bara - Tanga 1893.
2. Shule ya kwanza ya Sekondari- Tanga 1890 (Tanga Old School).
3. Shule ya Kwanza (Anglikana) Tanzania 1848 - Tanga Magila Muheza.
4. Taasisi ya Kwanza ya Utafiti wa Malaria Duniani - Tanga Muheza, Ubwari 1949.
5...
ndugu nshaona kesi kama hizo huko vijijini kwa watumishi wa afya, rudi wilayani nenda kwa katibu wako wa afya, ongea na dmo wako wakiwa wazito fikisha suala lako kwa ded na afisa utumishi wako, likiwa na pingamizi muone das, huko hakikisha wamekuondoa mara moja wakishindwa andika barua chap kwa...
Hizo bei ni kwa genuine battery toka kiwandani, ngoja nikuulize unajua bei ya engine ya ist brand new toka kwa toyota wenyewe? Je bongo hii nani angeiweza? Lakini sasa hivi chini ya 2mill unabadili engine kwa mitumba na spea za kichina kibao mtaani. Juzi nlikuwa natafuta genuine engine block ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.