Kuna Babu huku kwetu Aliibiwa Jigoo lake kubwa tu, akaamua kutangaza kijiji kuzima ya kwamba aliyeiba kwa makusudi au bahati mbaya ajitokeze na aendee.
Ikapita kama siku kadhaa hivi kimyaa hakuna aliyejitojeza, basi akatangaza kusoma HALALBADIRI pia hakuna aliyejitokeza.
Baada Ya siku tatu...
Dawa ni hii
Wapake rangi ya Ukili au ile rangi inayopakwa kwenye Mikeka yaani wapake kiwiliwili chote, kuna rangi nyekundu,blue manjano au yeyote ile hii itamfanya kuku aonekane kiumbe cha Ajabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.