sometimes we tuma tu hata kama tarehe imepita hasa kama ni kutuma via mail kwan itakucost nini?...nakumbuka kuna friend of mine aliomba kazi dead line ilikua bado kama wiki moja wao waliapply mapema wakawa washaitwa washapigwa interview siku ya deadline ndo wako wanaanza training...then he told...
eti safi sana wema daima mbele nyuma mwiko...kweli shosti kapata shoga,inaonekana shoga zake wanaomshauri upuuzi ni kama wewe tu,so aendelee kusonga mbele tu? (kuwabadilisha)
hamia airtel utaweza kupata ofa ya 200MB,dk 10 na message 100 kila mwanzo wa weekend (ijumaa hadi jumapili) ukiongeza salio kuanzia sh 1000 utakaloweza kulitumia saa nne usiku hadi majogoo
baada ya kusoma comment zenu nimejikuta nacheka sana...kila mtu anasanif kwa namna yake,eti kisa nimeandik a kwenye mstimu wa umeme...kwel wabongo tuna laana tena laana kubwa...tuendelee kukaa nyumbani kamanitafanikiwa kuona zilizotangazwa CNN ntawajulisha ndugu wadau
jaribu kupiga hii namba wanatoa ajira za fasta fasta bandarini,mshahara 210,000 kwa mwezi...nakushauri ewe binadamu usiye na kazi uende huko au kama ni mdogo wako mjulishe aende kisha kama ni channel nyingine atazipata akiwa huko,namba yao ya simu ni 0713 390 316,Tangazo nimeliona kwenye mstimu...
mwenye maamuzi ya kukataa ni mwanamke,ni wanaume wachache sana wenye uwezo wa kusema NO mbele ya mwanamke (ndio maana siku zote sisi wanaume tunwafuata nyinyi wanawake na kuwatongoza) hiyo ni nature na ndivyo ilivyo leo hii yule ambaye ukimuhitaji lazime uonyeshe nia kwa zaidi ya miezi miwili...
drphone em soma tena nilivyoandika naona hujaelewa nimeandika nini...halafu hakunaga mteja wa hovyo wala hairuhusiwi kumkatia mteja simu na zaidi ya yote kila mteja ana haki ya kusikilizwa tatizo lake na kushauriwa ipasavyo ili aweze kuendelea na matumizi yake ya simu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.