Natoka safarini Dar naelekea Tanga nikiwa na rafiki yangu jina anaitwa Maalim(Si jina halisi),
katikati ya safari gari inasimama nashuka,
Wakati huo maalim hakushuka! nikiwa narudi kwenye basi ghafla nakutana na dada(Ana asili ya kiarabu) ananizuiya kupanda hiyo gari!,
Basi naamua kuachana...
KIFO:
kwanini haujawahi kuwa rafiki wa mwanadamu, Kwanini usifute uadui ulionao kati yako na maisha, kwanini unakuja kwa kuvizia kama vile mwivi, Furaha yako ni ipi ewe KIFO je nikushuhudia machozi yetu tunapowalilia wapendwa wetu?, Kwanini umekua Adui wa uhai Tangu awali, Kwanini unatuchukulia...
Kwa muda mrefu binadamu amekua akijiuliza maswali ama angependa kufahamu mambo yafuatayo:
*_Nini chanzo cha uhai?_*
*_Nani mwanzilishi wa ulimwengu?_*
*_Dhumuni la kuishi ni lipi?_*
*_Je kifo ndio mwisho wa bin adam?_*
*_Je kuna maisha baada ya kifo_*
Kutoka na bin adam kuwa na ukomo...
Kwa muda mrefu binadamu amekua akijiuliza maswali ama angependa kufahamu mambo yafuatayo:
*_Nini chanzo cha uhai?_*
*_Nani mwanzilishi wa ulimwengu?_*
*_Dhumuni la kuishi ni lipi?_*
*_Je kifo ndio mwisho wa bin adam?_*
*_Je kuna maisha baada ya kifo_*
Kutoka na bin adam kuwa na ukomo...
...........Habari wanajamvi, Kama title inavyojieleza hapo juu leo ningependa kushare na nyie mambo Manne(4) Makuu Yaletayo Heshima Mbele Ya Jamii.
Nadhani Kila mtu anahitaji ama Anapenda kuheshimiwa katika Jamii.
Leo napenda ni share na nyinyi Juu na Sifa nne Ambazo Mtu akiwanazo(Angalau...
Wakuu habari za mda huu
Napenda kuchukua fursa hii adhimu ya kuwa mwanachama JF kujadili jambo pamoja na nyie wanajamii wenzangu.
Kuna siri gani kati ya wachawi na Mti uliotumika kujinyongea Mtu.
Kumekuwa na tetesi (kama si taarifa) kuwa mara nyingi sehemu alipojinyongea mtu utakuta matawi ya...
Wakuu habari za mda huu,
Nisipoteze mda sana iko ivi;
Kulikoni jina mwanamuziki maarufu Justin bieber kuwepo kwenye list ya wanawake mashuhuri zaidi ulimwenguni?
Naombeni mnitoe tongo tongo kwenye hili.
Nawasilisha.
Mimi ni kijana 25 years, Nina jambo limekua likinisumbua mda kitambo kidogo......
In short nilikua namchumba wangu tulipendana sana, Tofauti yetu ilikua katika dini, mama yangu amekua akiniasa mara nyingi kuwa binti huyo hanifai, lakini kutokana na mapenzi niliyonayo juu ya binti yule sikuweza...
Mimi ni kijana 25 years, nina jambo limekua likinisumbua mda kitambo kidogo
In short nilikua namchumba wangu tulipendana sana, tofauti yetu ilikua katika dini, mama yangu amekua akiniasa mara nyingi kuwa binti huyo hanifai, lakini kutokana na mapenzi niliyonayo juu ya binti yule sikuweza...
.....tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu
Kesho natarajia kwenda hospital kuchekiwa macho nahisi yana shida,
kwa sababu kila nikifungua wallet sioni kitu.
MUNGU AWABARIKI SANA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.