Inaumiza sana mtu mzima kupotea hivhiv. Anyway kwa yeyote atakaemuona atoe taarifa kituo cha polisi. Tunamhitaji Azory aungane na familia yake na asaidie kujenga Taifa letu.
#BringBackAzoryGwanda
Pole sana mkuu. Ajira siku hizi ni ngumu usitegemee sana kuajiriwa. Pambana ujiajiri mwenyewe haya maisha siyo ya kuyaonea aibu. Fikiri nje ya box fursa zipo nyingi tu usibague kazi kwa kuangalia elimu yako. Kuna jamaa alianza kufuga kuku na bachelor yake saivi hataman hata kuajiliwa. Kumbuka...
Wakuu habari za muda huu,
Tangazo hapo juu linajieleza. Viwanja vimebaki vitano. Viko Mkoa wa Dodoma maeneo ya Miyuji karibu na hospital ya St. Gema. Size ya kiwanja ni 30mx40m bei ni 5m. Umeme na maji vipo jirani sana i.e less than 150m. Usafiri wa Daladala upo, huduma zote za kijamii zipo...
Hiyo ya udumavu wa akili sio kweli. Mm nimesoma na mtu mwenye shida kama hiyo alikuwa very bright. Na saiv ni Daktar wa binadam na yuko above 30yrs now na afya yake iko njema kbsa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.