Habari wadau hivi inakuaje kila ukibadilisha simu what's app inaanza upya yani kama vile hukuwa na account inatoa magroup yote na kila kitu, yani ni kama unanza moja
Wakuu nimepata changamoto kwenye ku sign in Netflix kila napomalizia kwenye credit card inagoma tatizo nini kila napowema CVV inaniambia Error in method payment
Habari wako nimepata changamoto ktk playstore simu yangu naambiwa ipo uncertified imekua ngumu ku stream dstv naambiwa my device is not certified,masaada tafadhali..
Habari wakuu,
Natumia window 10 katika PC tatizo limekuja nimedelete folder imeenda kwenye recycle bin ambayo haionekani ktk desktop icon na ukienda upande wa setting ili uweke idisplay kwenye icon za mbele inatokea recycle bin moja ambayo iko empty ile nyingine haionekani msaada tafadhali
Habari ya saa hizi wanajamii, naomba msaada software ninayoweza kuflash huawei model hiyo maana kwa hard reset inagoma na ukiwasha ina leta notification nyingi za kustop software karibia zote na ni unstall whatsapp au facebook inazima na kujiwasha.
Habari za sahii, kama kuna yeyoyote anajua jinsi ya kutoa connect to itunes kwenye iphone 4s msaada tafadhali kwa software nyingine mballi na itunes au kwa njia nyingine...maana kwa itunes ina restore data kwa kudai apple id..
Habarini wakuu kuna uwezako wa kuongeza speed ya internet maana ni speed ipo low sana download 200kps na upload 100kps ni kama tupo kijijijini kumbe tupo mjini hapahapa na line zote, au ipi ambayo tunayoweza kuongeza.
Habari ya saa hii, wakuu naomba msaada wa android emulators nyepesi inayo support whatsapp mbali na bluestack maana ni nzito kufunguka katika window 10 pc.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.