spleeingiant
Senior Member
- Oct 24, 2016
- 138
- 44
Habari wakuu,
Naombeni video au maelezeo ya kufunga Dish la Canal.
Naombeni video au maelezeo ya kufunga Dish la Canal.
.Habari wakuu naombeni video au maelezeo ya kufunga dish la canal
Bila shaka ni wa mkoani maana haya Madish mikoani yanapendwa sana hasa ukanda huu wa KATI,NA MAGHARIBI NA ZIWAHabari wakuu naombeni video au maelezeo ya kufunga dish la canal
Bila shaka ni wa mkoani maana haya Madish mikoani yanapendwa sana hasa ukanda huu wa KATI,NA MAGHARIBI NA ZIWA
Mkuu, haya madishi me nayataka.. Yanapatikana wapi, bei yake na malipo yanafanyikaje,.. Nisaidie mkuuHabari wakuu naombeni video au maelezeo ya kufunga dish la canal
Yapo mengi tu broMkuu, haya madishi me nayataka.. Yanapatikana wapi, bei yake na malipo yanafanyikaje,.. Nisaidie mkuu
Unaujuzi hata kdg wa kufunga dish??Habari wakuu naombeni video au maelezeo ya kufunga dish la canal
Nicheki ninavyo ving'amuzi 0764453848Mkuu, haya madishi me nayataka.. Yanapatikana wapi, bei yake na malipo yanafanyikaje,.. Nisaidie mkuu
Kumbe 40000 tu? Sasa yanini kuhangaika kwanza lugha yenyewe kifaransa huelewi kitu wakati DStv compact ni 44000 unaona vyote ivyo .Yapo mengi tu bro
bei kwa sports ni 40000 per month
Yapo wapi, mi niko Arusha,.. Na malipo yanafanyikaje, maana siioni kwenye mitandao kama kampuni inayolipwa kwa njia za mpesa nk...Yapo mengi tu bro
bei kwa sports ni 40000 per month
Sio wote wasiojua kifaransa mkuu... Usipoelewa wewe, wengine wanaelewa kifaransa...Kumbe 40000 tu? Sasa yanini kuhangaika kwanza lugha yenyewe kifaransa huelewi kitu wakati DStv compact ni 44000 unaona vyote ivyo .
Acha mbwembwe mkuuSio wote wasiojua kifaransa mkuu... Usipoelewa wewe, wengine wanaelewa kifaransa...
Yapo wapi, mi niko Arusha,.. Na malipo yanafanyikaje, maana siioni kwenye mitandao kama kampuni inayolipwa kwa njia za mpesa nk...
Kumbuka 44000 ya Dstv huon uefa sawa kakaKumbe 40000 tu? Sasa yanini kuhangaika kwanza lugha yenyewe kifaransa huelewi kitu wakati DStv compact ni 44000 unaona vyote ivyo .
Utaona kupitia ss3 na ss8 jana mimi nimeangalia Inter na DortmundKumbuka 44000 ya Dstv huon uefa sawa kaka
hii nikwa epl, la liga, n.k ila sio uefa
Ndio ila utaona mechi 2/3 kati ya 8... hi ni sawa sawa na kusema ata Azam pia anaonyesha EPL... maana anaonyesha mechi moja kwa week.Utaona kupitia ss3 na ss8 jana mimi nimeangalia Inter na Dortmund