spleeingiant
Senior Member
- Oct 24, 2016
- 138
- 45
Habari wakuu,mwenye ujuzi wa ku unlock mifi ya halotel itumie mitandao yote msaada tafadhali.
Imejaribiwa kwenye laini ya Vodacom, Tigo, Airtel na Halotel yenyewe inafanya kazi. Angali video hapo chini. Inafanya kazi 100%
ya kwangu ni 4G mFi_0436F6 naweza unlock kwa style hii?
SSID:mFI_0436F6 Ni router Mpya za 4G ya HALOTELInatumia mtandao gani? Ni ZTE au Huawei? Weka na picha yake tafadhali MFI0436F6
SSID:mFI_0436F6 Ni router Mpya za 4G ya HALOTEL
ya kwangu ni 4G mFi_0436F6 naweza unlock kwa style hii?