mkuu mwi mwenyew hiyo hali nilishakutana nayo ila niliweza kuihandle mi nilikuwa napiga bao hadi nane (usiku kucha) anakwambia kaenjoy mpk basi,baada ya siku ukishika simu yake unakuta jana kagawa mzigo wakati juzi usiku kaikeshea, ushauli wangu kaa mbali nae jichanganye na watu na jaribu...
wakuu msio weka mikeka yenu kabla tunaomba baada pia msiweke, sio mnakuja humu aiseeee mkiliwa hamuweki weka before sio after alafu mnakuja na aiseee ili iweje? kuwalingishia walio loose au? atutaki ungese.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.