Watu wanalipiwa mahari tena kuuubwa na unakuta hana bikra hata mojaInasaidia kulipiwa mahari na huyu handsome boy
Watu wanalipiwa mahari tena kuuubwa na unakuta hana bikra hata moja
Bikra ni kitu kidooogo sana ktk ndoaSasa huoni kama jamaa anaibiwa hapo?angalau ingekuwepo hata moja basi nayeye akaitoe
Bikra ni kitu kidooogo sana ktk ndoa
Hawajakosea ni kila mtu na preference zakeKwahiyo ni sawa mtu kuolewa akiiwa hana hata moja? Je wale wanaweka desturi ya mtu kuolewa lazima awe bikira wanakosea?
Hawajakosea ni kila mtu na preference zake
Mabikra wasumbufu sana, fungate ya ndoa inaweza geuka ulingo wa moto, afadhari hawa kichupi mkononi mnagegedana mpaka basiKwa niaba ya wanaume wote wanaojitambua kiakili ni marufuku kutoa mahari ya aina yoyote kwa mwanamke ambaye sio bikra na wala haujamkuta bikra!
Hata kuharibu pesa kwa sababu ya ndoa ni upumbavu uliotukuka!
Cha msingi kwa kumsaidia kaa nae bila kutoa chochote kinachoitwa mahari
Sent by Diaspora
Bikra ni jipu asipotolewa mwanamke mapema litamsumbua tu wakat wa ndoa maana kutakuwa na usumbufu kulitumbua na kulitibia, yeye atumbuliwe tu huko mim sitaki ghasia wakati wa tendoHiyo imekaa vizuri , kuwa na bikira ni matunzo mazuri ya wazazi , hivyo mahari ni shukrani kwa wazazi . Tunaishia kuoa wake za watu tena kutoa mahari !! Huu ni uuuuuuungwana ??
Sent using Jamii Forums mobile app
alie bikra hum atengwe atakuwa mchoyo sana wa fadhira, ya nn tukae na lichoyo na lisilo na huruma...Kumbe watu wengi sio bikira humu
We aliyekutoa bikira unamkumbuka ?Shame Shame.
As if wanawake mliowatoa bikra mliwaoa.
Bikra inasaidia mwanamke kumuonja makofi wakati wa sex hata kama unampendaBikra inasaidia nn mkuu ktk maisha haya tuliyonayo?
Arafu hawa battery low ndo wanaunga hoja kwa kuwa hawajui hata karaha ya mwanamke bikra, me sitaki kukutana na bikra hata ndotoni
Mahali kwa kisw kingne ni kuuzwa, si lazima uuzwee kikubwa ni kuwa na maisha ya raha ktk ndoaMimi sitafuti kulipiwa mahari lakini.
Mwanaume bikra hajui kupampu, anaweka tu nakutuliaarafu anasubiri naelekezo..Mungu ametuacha hoi , mwanamke bikira anajulikana , je mwanaume bikira anajulikanaje ??
Sent using Jamii Forums mobile app