Mbali na kuibiwa ila huyu hakustahili hata kuwa Miss Tz. Inawezekana kweli hilo suala la kuibiwa idea ni sawa lakini naamini tukiacha maigizo na kuwa wahalisia tu hakuna namna huyu angeweza fanya vema huko kwa sababu hata hapa nyumbani ushindi wake kama ulikuwa wa ujanjaujanja flani hivi...
Love becloud reasoning. Ungekuwa huna team km mimi nadhani hili lilikuwa jepesi sana, tatizo mnachanganya mahaba katika kuanalyze mambo. Kwa namna alivyoongea bwana Tupogo na alivyoongea Mr. Madale ndo inaleta picha husika. Inawezekana ana mema mengi ila kwa hili acheni tu kinachoonekana...
Dada yangu hebu weka akiba ya maneno kidogo basi, anakwambia kwa Davido yeye alkuwa anatoa dola 3000 mkubwa katoa elfu tano hapo definitely huyu bwana thamani imepanda, sasa unajua vipi kama ile ndo ilkuwa senti yake ya mwisho?? Na it seems kama mwana he knew this... Hapa lazma hata km ni ww...
Kama hukusikiliza bora ukakaa kimya, au kama hukuelewa ni vema ukauliza kwanza. Haya mambo ya team yanawafanya watu wazima wanabehave km mazuzu ama watoto. Acheni kudhalilisha uwezo wenu wa kureason sometimes. Hakuna ulazma wa kuchangia kila uzi. Mingine baki kuwa msomaji tu km unahisi neno...
Hakika akili ndogo inapotumika kuamua mambo nyeti tena yanayoihusu jamii moja kwa moja na kuzaa majibu mepesi, kudharaulika ni kitu ambacho hakiwezi epukika. Na hii sio issue ya yule mwanamke kichwa tupu bali ni suala la uongozi mzima maana wameshauriana kuja na majibu haya sio kama kajiamulia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.