Kiwanja kinauzwa, Kigamboni, Toangoma (Kituo funcity) mtaa wa malela kipo jirani na nyumba ya karoti.
Ukubwa Meter 26.5 * 20
Kina slope upande mmoja haiathiti ujenzi wako.
Bei milioni 6 (Neg Kidogo)
MAHITAJI MUHIMU
Umbali kutoka barabara ya lami ni Kilometa 1.
Barabara za kuingia kiwanjani...
Habari yako mwana jamii.
Naiuza camera aina ya 7d Plain pamoja na lens standard ya 18-55 mm kwa Tsh 1,200,000.
Camera bado ni mpya sana, tangu inunuliwe dukani imefanya kazi mara mbili tu na ina miezi miwili peke yake.
Inarecord HD video mpaka 1080 quality.
Sababu ya kuiuza ni kuwa nahitaji...
Internal storage Gb 8
Network 4g
Used like new haina tatizo lolote wala crack
Price 120,000
0654846084
Ukilipia 125,000 nakupa na memorycard ya gb 32
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapenda kusoma riwaya? Zenye mpango wa kipelelezi, mapenzi na visasi? Nina vitabu vitatu tofauti
MIFUPA MIKAVU Tsh 13,000
LUPITA 10,000
MUUZA MIHOGO Tsh 10,000
Ukihitaji vyote vitatu kwa pamoja ni Tsh 25,000
Kitabu cha Mifupa mikavu kina riwaya tatu zenye kisa cha kisasi, maisha ya maumivu...
Unapenda kusoma riwaya? Zenye mpango wa kipelelezi, mapenzi na visasi? Nina vitabu vitatu tofauti
MIFUPA MIKAVU Tsh 13,000
LUPITA 10,000
MUUZA MIHOGO Tsh 10,000
Ukihitaji vyote vitatu kwa pamoja ni Tsh 25,000
Kitabu cha Mifupa mikavu kina riwaya tatu zenye kisa cha kisasi, maisha ya maumivu...
Kwa Dar es salaam wilaya ya Temeke gari la maji taka linapatikana wapi? Na gharama zake zikoje
Tafadhali naomba msaada wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapendwa habari ya asubuhi.
Naomba kufahamu kwa mwenye kufahamu gharama za unyonyaji wa maji taka katika choo kilichojaa. Au kwa anayewafahamu wanaofanya shughuli ya aina hii.
Natanguliza shukrani zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Gari imenyooka, haina cheni. Njoo na fundi ukague uondoke na mchuma.
Engine 2l Desel
Seat 15 inaingia mpaka watu 18-21
Mawasiliano -0654846084
Gari ni manual
Iko mbezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa cha thread kilivyoandikwa, natafuta mtu mwenye kuweza kufanya naye biashara ya kuchapisha kitabu changu kwa ubora na maelewano yatakayofaa.
Kwa mawasiliano
0654846084
Sent using Jamii Forums mobile app
Nauza kiwanja kilichopo toangoma kwa yatima(Funcity), kutoka barabara ya lami ni KM 1.
-Ukubwa wa kiwanja ni 15*20
-Bei Milioni 4.
Hakijapimwa ila kina hati ya makabidhiano
-Viko viwanja viwili nimekata kutoka kwenye Robo heka hivyo ninaweza kukukatia ukubwa tofauti kadiri unavyotaka lakini...
Nauza kiwanja kilichopo toangoma kwa yatima(Funcity), kutoka barabara ya lami ni KM 1.
-Ukubwa wa kiwanja ni 20*20
-Bei Milioni 4.8
Hakijapimwa ila kina hati ya makabidhiano
-Viko viwanja viwili nimekata kutoka kwenye Robo heka hivyo ninaweza kukukatia ukubwa tofauti kadiri unavyotaka lakini...
Kiwanja hiki kipo Toangoma njia ya kutoka kongowe kwenda Kigamboni. Stend ya kwa Yatima ilipo funcity.
Kutoka barabara kuu mpaka kilipo kiwanja ni kilometa 1.3
Njia za mitaa zimezingatia kuweka mji katika mpango mzuri. Huduma za kijamii kama maji na umeme vi karibu kabisa.
Ukubwa wa kiwanja...
Habarini wadau wa jukwaa hili ?
Nauza kiwanja changu chenye ukubwa wa robo heka(35*35) kwa bei ya Tsh Milioni 15.
Kiwanja kinapatikana Toangoma njia ya kwenda kigamboni kutoka kongowe. Karibu na funcity kilometa 1.5 kutoka barabara kuu ya lami.
Umeme na maji vimefika visima vya maji matamu...
Vitu hivi nauza kwa bei ya chini sana
Jiko lenye plate mbili na meza ya kioo.
Tsh 60,000
Asali ya nyuki wadogo lita 4
Tsh 30,000
Laptop 230,000
Hdd 250
Ram 4gb
Processor Duo core
Mawasiliano 0683936934
Kwa Dar es salaam nitakuletea popote ulipo.
Pichani ni asali ya nyuki wadogo halisi kwa asilimia 100
Ukitaka kupima kabla hujachukua ni sawa
UKITAKA KUJUA UHALISIA
>chachu
>nyepesi
>rangi ya kahawia
MWENYE kuhitaji 0683936934
Bei Tsh 30,000
Napatikana Dar es salaam, mbagala. Naweza kukuletea popote pale ulipo kwa hapa Dar es salaam.
Nauza laptop kwa bei ya kutupwa kutokana na ukata unaonikabili.
SPECIFICATION
Processor 2duo core
Ram 4gb
Hdd 250
Dvd rw
Bei ni sh 270,000 maelewano yapo kwa seriously buyer kwa mawasiliano 0683936934
Mambo
mwenye flat screen nch 22 - 24 naomba tuwasiliane nahitaji sana bajeti yangu ni 200,000 mkononi plz serious kama unayo nicheki 0654846084 kama sipatikani naomba unipm
Naomba kuuliza kwa wale mafundi seremala na wenye uelewa wa karibu na mafundi seremala, ni wapi wanauza viti vya kuchunga mahususi kwa ajili ya kanisani na maalumu na wachungaji?
Naomba mwenye ufahamu anijuze kuhusu walipo mafundi hao
Bei ni sh 250,000 maelewano yapo
Simu ipo katika hali nzuri haina tatizo lolote, wala mchubuko kwa mahitaji ya simu hii
0717327191
Inapatikana chuo cha uhasibu TIA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.