Nielekezeni Ikulu na nenda na moyo wangu; ndani ya kitabu kimoja

asanteelimu2016

JF-Expert Member
Sep 23, 2016
235
127
Unapenda kusoma riwaya? Zenye mpango wa kipelelezi, mapenzi na visasi? Nina vitabu vitatu tofauti

MIFUPA MIKAVU Tsh 13,000
LUPITA 10,000
MUUZA MIHOGO Tsh 10,000

Ukihitaji vyote vitatu kwa pamoja ni Tsh 25,000

Kitabu cha Mifupa mikavu kina riwaya tatu zenye kisa cha kisasi, maisha ya maumivu na kuhusu mahusiano.

Popote ulipo Dar es salaam nakuletea. Kama ukiwa mkoani nakutumia kwa njia sahihi

0654846084
0683936934
IMG_20190307_144729_7.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom