habari zenu wadau kwa siku tatu nyuma ninapopiga sm huchukua muda mrefu zaidi ku search kabla sm kuita ama kukutaarfu vinginevyo
vipi hii ni kwangu tu ama kuna mdau anakutana nayo?
na inasababishwa na nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wakuu nahitaji kuirestore Galaxy Grand Prime+ ila sijaona pa kuanzia wala kumalizia msaada wenu tafadhalini.
Sent using Jamii Forums mobile app
nipo na jelly ben tecno h5 baada ya kuiroot nikaona nitoe system apps ambazo huwa sizitumii na nyingine nikaamua kuzibadilisha
nikatoa phone call ya system nikaweka treu caller
pia nikatoa system app ya sms nikaweka go sms
lakini kila nilipobandua system apps nilipata onyo hili
removing...
habari wadau natumia jelly bean version 4.2 ni rooted nataka ni upgrade kwenda version 4.4 kitkat ama v5 lollipop ama hata v6 mashamelow ikiwezelana msaada pls
Tulipokua kwenye harakati za kampeni kuelekea uchaguzi ahadi nyingi zilitolewa moja wapo ni uundwaji wa mahakama ya ufisadi.
Baada ya uchaguzi uliomuweka magu madarakani tumeona ahadi kadhaa zikitekelezwa ikiwa ni pamoja na uundwaji wa mahakama ya mafisadi
Pongezi kwako mh rais kwa kutekeleza...
Ma customer care wa mitandao yote ya simu unapowapigia kuomba huduma wakishapokea wataanza kujitambulisha na pia kutaka na wewe ujitambulishe.
Wewe ni nani na unapiga simu ukiwa wapi na vitu kama hivyo, sasa swala la wao kujitambulisha ni sawa ili unapopewa huduma walau ujue ni nani...
nna tecno H5 ninapo mpigia mtu ina sachi ussd code running....lakini sim inaita na tunasikilizana ili baada ya maaongezi sim yaikatiki sababu bado ina sachi ussd code
msaada kwa anaejua tafadhali
kwa muda mrefu kidogo nilikua napata kuona bure baadhi ya stesheni za startimes kupitia code no 530 570 578 ila wiki ya pili zimepotea na kila niki sachi hazipatikani tena ama wamestuka?
Jana nilikaribishwa kuungana na familia ya rafiki yangu mmoja kwa ajili ya chakula cha mchana vitu vilivyo andaliwa mezani ni pamoja na sahani iliyokua na vitunguu maji vikiwa vimemenywa na kukatwa sikua nimeelewa dhumuni la kuwepo vitunguu vile.
Baada ya kumaliza kula sasa ndipo walianza kila...
Tanganyika tulipata uhuru mwaka 61 kenya wao walipata uhuru mwaka 63 desemba ni kitu gani kimesababisha hawa wametuacha hivi ? sisi mpaka leo kutoka mbagala kwenda mwenge muda unaotumia ni wa kwenda morogoro yatakwisha lini haya?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.