Ushauru wangu kwa mama Samia ris wetu control Hawa watu sampuli ya Nape ambao wanajitahidi kuonyesha ccm ya magufuli no tofauti na yako hata Kama mnatofautiana mawazo ktk uendeshaji was nchi we'we mama na magufuli but kwa mtu mwenye hekima na maarifa hawezi ku behave mithili ya.Nape.
Akumbuke...
Fools are fools never argue with them people will Neve rknow who is a fool.
Kabla ya magufuli kuwa rais korosho ilikuwa Bei gani? Na Sasa Nini kimewafanya washindwe kupandisha Bei ya korosho? Je Bei ya vitu vingine Kama fuel, gas na mahitaji mengine nchini yanayopanda Sasa kapandisha magufuli?
Naunga mkono juhudi za mama ktk utendaji wake isipokuwa ili kuboresha zaidi nashauri yafuatavyo:-
1. Ajitahidi kuepuka kupokea na kufanyia uamuzi wa kurudi tulikotoka kwa kila ushauri anaoupata toka kwa wasaidizi wake kwani baadhi yao ni wapigaji tu na hawako kwenye nafasi zao kwa manufaa ya...
JK mimi binafsi namkubali sana pamoja na mapungufu yake kama walivyo wanadamu wote na amefanya kazi kubwa sana nchi hii ikiwemo kurudisha taasisi nyeti zilizo uzwa na mzee Mkapa kama ATCL, TTCL, TANESCO, TRC na THA (Bandari). Huyu ni shujaa kabisa. Mwendazake amekuja kuimarisha hizi taasisi...
Hoja za Lisu wanazielewa vizuri sana watumishi hewa na mazwazwa. Mwenye akili timamu hawezi hata siku moja kumuunga mkono zombi anayeropoka ropoka tu hana Sera wala hajitambui na inaonekana huenda akawa ni mwezi mchanga.
Hoja za Lisu wanazielewa vizuri sana watumishi hewa na mazwazwa. Mwenye akili timamu hawezi hata siku moja kumuunga mkono zombi anayeropoka ropoka tu hana Sera wala hajitambui na inaonekana huenda akawa ni mwezi mchanga.
Hoja za Lisu wanazielewa vizuri sana watumishi hewa na mazwazwa. Mwenye akili timamu hawezi hata siku moja kumuunga mkono zombi anayeropoka ropoka tu hana Sera wala hajitambui na inaonekana huenda akawa ni mwezi mchanga.
Hoja za Lisu wanazielewa vizuri sana watumishi hewa na mazwazwa. Mwenye akili timamu hawezi hata siku moja kumuunga mkono zombi anayeropoka ropoka tu hana Sera wala hajitambui na inaonekana huenda akawa ni mwezi mchanga.
Hoja za Lisu wanazielewa vizuri sana watumishi hewa na mazwazwa. Mwenye akili timamu hawezi hata siku moja kumuunga mkono zombi anayeropoka ropoka tu hana Sera wala hajitambui na inaonekana huenda akawa ni mwezi mchanga.
Hoja za Lisu wanazielewa vizuri sana watumishi hewa na mazwazwa. Mwenye akili timamu hawezi hata siku moja kumuunga mkono zombi anayeropoka ropoka tu hana Sera wala hajitambui na inaonekana huenda akawa ni mwezi mchanga.
Hoja za Lisu wanazielewa vizuri sana watumishi hewa na mazwazwa. Mwenye akili timamu hawezi hata siku moja kumuunga mkono zombi anayeropoka ropoka tu hana Sera wala hajitambui na inaonekana huenda akawa ni mwezi mchanga kichwani.
Kuwa na gari ya pickup Tanzania ni uhalifu why this?
Nimeshuhudia mwenyewe jinsi polisi wanavyosimamisha gari yoyote ya kubeba mzigo barabarani kutoka dar mpaka mwanza inavyosimamishwa na kila askari aliyopo karibu na barabara kana kwamba gari hiyo imeibiwa ama imebeba vitu vya wizi...
Mkuu Mheshimiwa Raisi wetu John Pombe Magifuli
Nakuomba tuionyeshe dunia tumedhibiti korona kwa njia zifuatazo:-
1. Uongozi wako umetoa dira kwa kuondoa hofu kwa Wananchi wako na korona imekuwa kitu cha kawaida.
Zaidi ya yote ni kumtegemea mungu katika kila jambo.
2. Ugunduzi wa dawa lishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.