Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Kabisa yani.. ..Watu wenye vichwa vya hasira, wivu na kiburi wanakuwaga wepesi sana!!
Kabisa yani.. ..Watu wenye vichwa vya hasira, wivu na kiburi wanakuwaga wepesi sana!!
Htr sn mkuuDuuuuuu
Htr sn mkuu😂😂😂😂😂😂 baada ya kumpiga chini Jokate.
Ohooo...... ✌️✌️Kwa hiyo Lissu anapiga kilaini?
Na anawaweka kati na wote wanaingia kichwa kichwa anawapaua zaidi😂😂Kamfanya punching bag lake
AiseeYaani balaa sebene analowapa lisu ni balaaa tupuView attachment 1582825
Yaani we acha tuTeke teke hadi huruma
Ivi kwa mfano hizo gari zingepata ajali ccm ingewambia nn wananchi wakaelewaUnapanda loli unapewa buku tano ya kura mjiniView attachment 1582819
Nimechoka sana lets meet 28Wagombea wenyewe ndio hawa!View attachment 1583034
Ustaarabu gani uliopo Ufipa?.Siku zote CHADEMA inafanya kampeni za kistaarabu
Bro naomna utaje moja la ukweli ambalo amewahi kulisema huyo kigogoNa nadhani ndiye 'amemponza' huyu 'Mtani' wangu Tundu Lissu japo 'nikiri' pia kuwa kwa 75% ya Mambo ayasemayo 'Kigogo' huwa ni ya Kweli tu.
Bro naomna utaje moja la ukweli ambalo amewahi kulisema huyo kigogo
Hakika Ingawa na wao jitihada zao kama viongozi Nimuhimu sana Nikucho kiona leo nihatari sana Sitapenda kuona Likijirudia tenaUmeongea vema mleta mada.
Hata hivyo ashukuriwe Mungu ambae anaendelea kumpigania. Uwepo wa Lissu Leo akiwa hai imekuwa pigo kubwa kwa wakubwa!