😂, unajitetea mapemaaa! Unaogopa kupopolewa mawe, kamanda!?Hakuna wanafunzi kweli humo??😝
Natania makamanda!
Everyday is Saturday..............................😎
Atatangaza tu labda tuishinde.Jaman hawa pimbi jamii ya akina de mahera watawatangaza kweli watu wetu wakishinda?? Maana uyu mkurugenz wa Nec tayari anayempigia kampeni magu sincerely nadaut km watatutangazia wateule wetu.
Chadema sasa manafanya sifa kha!Duh huyu jamaa anakubalika mpaka kero.
Asiyemwelewa Lissu ana roho yakishetani.Hoja za Lisu wanazielewa vizuri sana watumishi hewa na mazwazwa. Mwenye akili timamu hawezi hata siku moja kumuunga mkono zombi anayeropoka ropoka tu hana Sera wala hajitambui na inaonekana huenda akawa ni mwezi mchanga.
Ni video za mwaka 1887 wakati wa frence revolition huko ulayaHamna yakuunga tu
Lissu ni kichaa, hanadi sera hata siku moja ye ananadi mapambano tu kwamba lazima atangazwe kwa sababu watu walikuja kusikiliza mkutano, basi lazima awe mshindi la sivyo damu itamwagika, huyu kichaa ametumwa anatumiwa kama zombie na wazunguHoja za Lisu wanazielewa vizuri sana watumishi hewa na mazwazwa. Mwenye akili timamu hawezi hata siku moja kumuunga mkono zombi anayeropoka ropoka tu hana Sera wala hajitambui na inaonekana huenda akawa ni mwezi mchanga.
Anakubalika na mazombie wenzakeDuh huyu jamaa anakubalika mpaka kero.
Uzuri wa Lissu ni Born Free anazungumza na vijana kwa lugha wanayoielewa unlike yule bwana wa kufokea na kugombea.Sidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu asichague #Lissu tarh 28.
Lisssu mwenye uwezo wa kuitafsiri elimu yake kwenye mazingira anayoishi.