kuna jamaa niliwaona facebook hio tatizo wanali solve kwa kutengenezea kitu kufunikia nigumu kama lamiii sijui linaitwaje nila lazwa kwenye ukuta na bati so maji haya piti kabisa
Habarini wana JF, mimi ni mhanga wa ajira kwa muda tuu ila nimetafakari na kuona halihalisi ya maisha yanavyozidi kuwa juu nimeona nitafute kazi nje ya nchi, nje ya Africa kazi yoyote ya halali hata kudeki vyoo, kwa anayejua au mwenye ndugu pls aniunganishe, asanteni mtakaoguswa. Maisha magumu...
lakini kwa imani zingine hakua mwana wa Mungu, alikua mtume wa Mungu kama mitume mingine, unajua tatizo kubwa hapa yesu alizaliwa bila baba ndo ikaonekana kua hivyo ila watu wamesahau miujiza ya Mungu, Mungu alimuumba Adam na hawa hao wote hawa kua na baba wala mama wameumbwa straight.so kutokua...
yesu aliteremshewa kitabu injili na ndani ya injili kuna few details kutoka kwenye original torati kwakua original enyewe ilipotea na ilipitwa kwa wakati wake.
kila kitabu na wakati wake na kwa umma maalum, so torati ili isha na watu walifanya edit nyingi so enywe ikapotea so akaja mtume mwingine kwa wakati mwingine nae anakitabu chake kina machache kutoka kwenye torati na mengine mapya yake kwa umma wake, so kuna kupokezana mpaka kufika kitabu cha mwisho
reference ilikua maisha wanayoishi, so kikitokea kisaa ndo inashushwa aya immediately, na mengi walikua wanaambiwa au kuagizwa na Mungu kupitia Malaika Jibreel au Gabriel huyu alikua mwalimu mzuri kwa mitume na alikua anagizwa direct kwa mitume.
so kwa mpaka Quran imekamilika kufikia kwa mtume...
ila kwa sasa watu wakitabu hawapo wale wenywe mie nilisha muliza shekhe moja amejibu kama wewe ila akaweka mkazo kwa sasa hao watu wakitabu hawapo walishaisha maana ngumu kumkuta yule mwenywe so ni bora kuoa wa dini yako.
mkuu hio simu mwisho ni windows 8.1, windows 10 sio yake umei forcehi downgrade kuenda 8.1 uta enjoi alafu change format ya image unazo piga picha maana hio ina 41mega pixel so picha lazima ziwe heavy.
sawa hatukatai mzee baba wanakula ila hao sio waislam ila ni waislam majina mzee baba, kwani bible inasema watu wakafirane? hapa inakataza na kulani kitendo kile ila mbona kuna sampuli kibao za wakristo wanafiranaa? so usichanganye dini na tabia za watu binafsi. Dini zina kataza mahasi ndo ujue...
hizo unazo sema wewe si katai ni duplicate tuh ili kupoteza watu ila nenda kokote duniani omba Quran soma ni ile ile usidanganyike nenda hata bush tafuta mtoto wa chuo mwambie hakusome surah yoyote ile naenda sehemu nyingine ni vile vile, kinacho fanyika asaivi ni wana print Quran fake kwajili...
kwa sababu mkristo au myahudi vitabu vyao viko nyuma na vina edit nyingi na mapungufu kibao na ni vitabu kwa wakati ule, na kitabu chetu ni kwa uma wasasa yani kitabu cha mwisho kwa mtume wa mwisho so binti wakiislamu akiolewa na mtu wa dini hizo nikumrudisha nyuma, ila mwanaume ukioa haina...
Sure, ila tumeambiwa watu wakitabu yani wakristo wa kweli sio wasasa ambao kwa sasa hawapo. asaivi kuna agano jipya etc so hairusiwi ilikua inrusiwa kwa wale wakristo wa ukweli ambao hawali kitimoto etc kama wasabato fulani ila wale walio kua wanafata mafundisho ya Yesu mwenyewe in and out sio...
ukweli wanajua wao na Mungu, yani mie naisi vyama ni vyao na viongozi nawao yani vibaraka wao, sie tulio kua njee ya mfumo tuna uchungu na tuna marifaa mengi au tuna maono mazuri ila haya chukuliwi maanani ndo ujue ni watu wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.