Nilichokiandika ni kuwa kwasasa kazi zimejawa na utoto mwingi hna hakuna ubunifu Kama zamani. Nimetolea mfano wa hiyo kazi inaitwa KUBWA KULIKO na kazi nyingine za akina mkojani yaani ni utoto tu ndani yake.
Kukaa mkiani ni suala la muda tu kijana. Mbona wydad alicheza mechi mbili akawa na point zero kwahiyo ni nafasi ya muda tu lakini utashangaa baada ya round two kuanza.
Hata hufatilii mpira, nenda jukwaa la akina zuchu huko kunakufaa. Mechi nne za nyoko! Tumecheza mechi tatu kijana Kama hujui sio lazima kuanzisha Uzi kaa soma tunazoziandaa
Umefeli pakubwa we nyau wewe. Mwanamke anakuwaje na mandate kubwa kiasi hicho kwenye biashara? Yeye alitakiwa awe chini Yako yaani afanye kazi Kwa kujua kuwa unamfatilia. Yeye auze na jioni mfunge mahesabu pamoja Tena ukibaini upotevu kuwa mkali. Sasa miaka miwili yeye anaendesha biashara Kwa...
Ndugu wana jamvi nisicheleweshe muda.
Mwaka Jana mwezi Novemba serikali ilitoa katazo la kufanya shughuli za kilimo Kwa maeneo kadhaa na kuidhinisha uhamisho wa baadhi ya vijiji. Mwezi Disemba waziri mkuu alifuta GN 28 na kufanya marekebisho ya maeneo ya kuhama na kufanya shughuli za kilimo...
Mke mdogo na mwanachuo wasitishie huduma na elekeza nguvu Kwa wife. Maisha uliyomuanzishia anatakiwa Aishi hayo na kama mabadiriko yawe kidogo lakini kipato cha 2500 ugawanye sehemu 3! Una matatizo wewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.