Wakuu,
Ni muhimu wanachama kuomba kikao cha dharura waweze kuelezwa hatma ya timu yao. Kama msipofanya hivyo subirini miujiza!
Hii timu mkitaka mfanikiwe msikubali hadithi za kale na takwimu za tupo nafasi ya ngapi CAF, ulizeni maswali magumu mjibiwe au watuachie timu tuungeunge hadi tupate...
Tuna timu mbovu. Main reasons ni viongozi na bila mabadiliko ya viongozi hakuna kitachobadilika. Sasa wanachama jipeni moyo hawa viongozi wafanye mabadiliko ya maana.
Nafikiri kama Taifa tuna tatizo zito linalofukuta na kuna watu wanachochea. Shekhe kusimama msikitini kuongea haya leo nini anatafuta?
Anyway, muda ni mwalimu mzuri.
Sanctus Mtsimbe nimemfahamu hapa JF enzi zile akiwa active sana humu. Nilibahatika kukutana nae around 2 yrs ago aki launch Zuku products. Anaonekana ni mtu mtulivu, mcha Mungu na mbunifu sana.
Rest in peace brother Sanctus Mtsimbe
Wizi wa kura na ujambazi wake hakuna kipindi kinachozidi kingine. Tofauti ni JPM hakuwa mnafiki na kona kona. Ukisikia mtu anasema 2020 ilizidi ujue huyo hajawahi kuwa front kwenye uchaguzi na kama alishiriki hakuwa insider alisikia sikia tu vitu.
Influence ya wazazi YES! Ila wengine tuliamua kuchunguza facts za imani yetu hadi kufikia hatua ya kuyumba kabisa ila tulipokuja kupata uhalisia ndipo tulipotuliza nafsi na roho kwa Kanisa Moja Takatifu la Mitume!
Huwezi kujua kweli kwa kumtegemea mchungaji wako bila kukubali challenge nje ya...
Ni mpaka watapotokea walei wa invest kuweka maudhui ya Kikatoliki. Tuko slow mno na kutumia media kuinjilisha.
Hata TV maarufu duniani EWTN founder ni mother Angelica na inaendeshwa kupitia bodi maalum.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.