Wakuu heshima yenu. Naomba msaada wa kupatiwa activation key ya microsoft office professional Plus 2019
Mfano nikiandika kwenye Microsoft word inagoma na kuleta maandishi "you can't make this change because the selection is locked"
Wasaalam
Dr. Nyakageni
Amani kwenu wanabodi,
Tundu Lissu ni ni mwana chama mwenzetu. Ana kesi mahakamani ya kututetea wote humu ndani ili tuwe huru. Ni moja ya mawakili anayemtetea @Maxence Mello na Mike ambao ni mabosi wetu humu ndani kwa maana ya wakurugenzi wa Jamii Media (wamiliki wa Jamiiforums)
Kwa moyo safi...
Wanabodi habari,
Uzi huu ni maalum kwa watu wenye uzoefu wa kuwa na mahusiano na wanawake waliokeketwa, na pia wanawake waliokeketwa. Katika pita pita zangu niliwahi kukutana na mwanamke mrembo haswa (Mungu ni fundi, ashukuriwe) lakini katika hatua za mwanzoni alikuwa mgumu sana kuruhusu...
Mwaka 2015 Dr. Slaa alifanya kazi kubwa sana ya kuibomoa UKAWA na kutuaminisha kuwa '' mwenye heri '' ni bora kuliko '' shetani'' aliyemkaribisha nyumbani na baadaye kumkimbia kwa kigezo kuwa '' kinyesi kimepakuliwa na kuhamishiwa sebuleni ''
Muda ni jibu zuri sana na nashukuru Mungu kuwa...
Kwa muda sasa nimekuwa mfuatiliaji wa mada za jukwaa hili la MMU. Ni jukwaa la nne baada ya jukwaa la siasa, habari mchanganyiko na dini & imani. Nawasalimu wote humu na kuwapongeza kwa kutoa elimu nzuri sana ya mahusiano bila malipo wala kificho!!! Naamini siku haya majina ya bandia yakitolewa...
Wakuu naomba tujadili kwa pamoja baadhi ya fursa ambazo wajasiriamali tunaweza kuzipata. Michango yenu inaweza kuzingatia SWOT ANALYSIS ili mtu anapoandaa project plan yake iwe virahisi zaidi
Mimi kwa haraka haraka naona fursa zifuatazo
1. Guest Houses kwani watumishi wengi wataenda kule...
Imeandikwa na Elias Mhegera
Ubabe, vitisho na kutukana siyo suluhu ya matatizo ya Watanzania!
Kwanza kwa heshima kubwa nakusalimia shikamoo, na baada ya hapo nakuomba urejee madhara yaliyowahi kusababishwa na tabia zako za ukatili na ubabe.
Kwanza hii tabia ya kutukana watu hujianza leo...
Waungwana inverter yangu imeharibika na feni yake tu ndiyo inazunguka! Hivi kuna mafundi wa hii kitu na wako wapi kwa Dar Es Salaam?
Napata taabu as solar power ni back up ya umeme wa kifisadi wa Tanesco!
Kuna ushauri mwingine au ninunue tu?
Amani iwe nanyi
Kuna mlipuko wa red eyes sehemu kubwa ya jiji la Dar.
Wizara kimya, Serikali kimya.
Hili nimeligundua baada ya dawa ya IVYDEXNEOCIN kuisha kwa kasi sana kwenye maduka ya dawa muhimu (pharmacies)
Dawa zote ambazo ni related to DEXAMETHASONE AND NEOMYCIN EYE/EAR DROPS zimenunuliwa kwa kasi...
Leo mchana huu Mheshimiwa Fredrick Sumaye ametangaza rasmi kugombea urais wa Tanzania.
Amesema hayo wakati akihojiwa na Dotto Bulendu anayeripotia Deutsche Welle Radio.
Nimekaa kwenye foleni tangu saa sita mchana toka Kinondoni Mkwajuni kwenda Posta na kufika saa 9:45 alasiri!
Narudi kupitia Kariakoo karibu masaa mawili sijafika Mnazi Mmoja!
Tatizo nini? NATAMANI NIACHE GARI NITEMBEE
Leo Jumamosi 7/12/2013 katika ukumbi wa bunge Dodoma, aliyekuwa naibu katibu wa CHADEMA, mheshimiwa Zitto kaingia bungeni na akiwa na jukumu la kuwasilisha ripoti ya PAC ambayo yeye ni mwenyekiti. Wabunge wa CCM wameshangilia sana.
Swali kuu ni why CCM mp's? Time will tell
Kaanza kwa...
Eneo la ufukwe (beach) wa ziwa Victoria jijini Mwanza linauzwa! Linafaa sana kwa classic hotel au nyumba ya kuishi!
Lina ukubwa wa ekari 3 na liko eneo la Kayenze Ndogo nje kidogo ya jiji la Mwanza kilometa chache kutoka Mwanza International Airport.
Bei ni Tsh. 350 million
Tarehe kama ya leo miaka 52 iliyopita ardhi ya Tanganyika ilipata baraka kubwa baada ya kupata mtoto aitwae freeman Aikael Mbowe!
Mheshimiwa Mbowe amekuwa na muono wa mbali sana kuhusu taifa hili; amejitolea mwili, nguvu, akili na muda wake kuhakikisha tunaipata 'Tanzania tuitakayo'...
Uhusiano wa nchi ya China na Tanzania kwa sasa ni jambo la kushangaza saana! Kuna mambo mengi yanashangaza.
Leo hii mwanadiplomasia wa China, balozi wa China nchini Tanzania kaamua kuisaidia CCM kupiga kampeni! Katika kijiji cha Maganzo nje kidogo ya mgodi wa Mwadui, wilaya ya Kishapu mkoani...
Kufuatia tukio lililotokea bungeni wiki iliyopita ambapo mbunge mmoja wa CUF alitumiwa 'kimemo' cha kumtishia maisha, kuna tetesi kuwa aliyetuma kimemo hicho ni Mwigulu Nchemba, mbunge na naibu katibu mkuu wa CCM, Mwigulu Nchemba!
Haya yametolewa na mchangiaji wa kipindi cha Malumbano ya...
Wataalam wanasayansi wa Marekani wamegundua kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya ukubwa wa korodani (siyo dushelele kwani fupi tamu na hakika kubwa inakera) wenye korodani kubwa ni wapenda ngono hasa nje ya ndoa na siyo walezi wazuri! Wenye korodani ndogo ni wapenda kulea watoto kama kuwaogesha na...
Msikiti mkubwa wa barabara ya saba Dodoma hivi sasa unaungua moto. Imetokea mapema baada ya ibada ya Ijumaa na umeanzia ghorofa ya juu.
Kuna taharuki kubwa! Hofu nyaya za umeme zitashika moto. Hakuna majeruhi wala aliyepoteza maisha.
Poleni ndugu zetu waislam.
Source: Magic F. M.
Wabunge zaidi ya 20 walisimama kwa mujibu wa sheria lakini Jenista Muhagama akaandika majina na kutowapa nafasi, akitaraji kuwapa nafasi mwishoni! Cha ajabu hajui wanataka kuzungumzia nini. Wametoka nje ya ukumbi. Mbunge wa CUF mwanamama Mwituka na John M. Shibuda wa CHADEMA, Dr. Augustine...
Hivi Kawe na Ubungo mmekosa nini? Ni 'uongo' gani waliwaambia? Au Mnyika na Mdee waliiba kura? Kwa miaka 50 ya uhuru CCM imeifanya Dar kuwa peponi, wanakaa malaika, wenye heri na watakatifu!
Kichwa huuma zaidi kuona CCM inachaguliwa mikoani. Mikoani wanakaa mashetani, misukule na mazimwi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.