Kazi ninayofanya sasa nimeipata kupitia zoom na nashukuru kwa ninacholipwa.Ila to be honest GUI (Graphical User Interface ) ya sasa ya Zoom sijaipenda,ni bora wangekua wanalist tu ajira bila kuweka mapichapicha.
Habari zenu wadau,
Kama wiki hivi imepita kuna Dada mmoja kanifuata inbox kwenye Facebook messenger akanisalimia kisha akaanza kuniuliza maswali kwamba nafanya kazi kwenye Ofisi gani na je nimeoa au nina mtoto na kama hivi vyote bado sijavifanya he nina mpango wa kuoa lini.Nadhani Huyu binti...
Kuna dada mmoja alikosea namba kwenye simu yangu sasa tukajenga urafiki wa kawaida mwishowe nikamtongoza lakini aliniuliza kama nina mke au la.
Kwakuwa sikutaka baadee aje agundue kama nilimdanganya nikaona nimwambie ukweli kwamba nina mke. Dooooooooh hapo utafikiri ndo nilimuongezea speed ya...
Kwa hali jinsi inavyokwenda mifuko ya jamii inaonekana imeshindwa kujiendesha sababu kumuambia mtu aliesitisha mkataba na kampuni aliyokua anafanya kazi kwamba asubiri miaka 55 ndo aende kuchukua mafao yake hii haiingii akirini.
Unakuta mtu ameajiriwa na kampuni flani kwa mkataba let say wa...
Habari za muda huu waungwana,
Nimeongeza salio kwenye kadi yangu ya Udart kwa mpesa na nikarudishiwa ujumbe kwamba nimefanikiwa kulipia kadi yangu na wamenitumia hadi namba ya risiti,chakushangaza nimeenda kwenye kituo chao kucheki balance lakini salio nililoweka halionekani.Sio kama nimekosea...
Fomu ya maombi ya kujiunga na vodacom 4G ina utitiri wa maswali yasiyokua ya lazima,wanauliza mambo mengi sana ambayo sidhani kama yana uhusiano wowote na huduma hii ya 4G.
Yani maswali ni mengi utadhani unajaza fomu ya kuwaomba ajira,mbona Tigo wako simple sana hawana hizi complications...
Haya makato yatawaathiri indirect hata wale ambao si wanufaika wa mkopo,nasema hivyo kwasababu lets say mzazi anakutegemea kila mwezi umnunulie walau kiroba cha unga cha kilo 50 sasa kwa makato haya hutokua na uwezo tena wa kumsaidia kwa kiwango icho mana makato ni makubwa sana.Mimi si mnufaika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.