Jamani nina sehemu ya kuchimba minerals za gypsum sasa nahitaji kujua soko lake ntalipata wapi na huwa wananunua kwa tani au? Naombeni ufahamu kwa hayo, maana nina eneo kuubwa sana lina hizo product
Kwa mwezi huu huwa wanatoa kwa awamu 2 au? Maana Mimi nilipeleka tarehe za mwisho za mwezi wa 6 mkoani ili yaende tamisemi! Na inamaana kama mkoani walipeleka mwezi wa 7 it means hadi January 2016? Nisaidieni ufahamu
NIMEBADILISHA OPERATING SYSTEM KWENYE LAPTOP YANGU AINA YA ( iNSPIRO 1525) DELL, DRIVER ZA SAUTI ZIMETOKA,PAMOJA NA VGA COMPATIBLE NAOMBENI MSAADA MWENYE NAZO ANITUMIE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.