Habarini wanajamii forum kwa Majina naitwa Shadrack Kitalika. Ni muhitimu chuo kikuu Teofilo Kisanji TEKU ngazi ya degree nimesomea BAED (bachelor of Arts with education) masomo yangu ni History and Geography
Nilikuwa naombeni nafasi ya kufundisha Shule ya secondary popote pale Tanzania naahidi...
Watu wawili mama na mtoto wamenyongwa hadi kufa kisha kuchinjwa kama kuku maeneo ya Kaole jion ya jana.
Habari kutoka Kaole; Majira ya saa 12 jioni jana, ilipita pikipiki eneo hilo ikiwa imepakiza watu watatu, dereva wa nne! Wanaume wawili, mwanamke na mtoto.
Walipofika eneo la darajani...
Wana JamiiForums kama kuna mtu anajua jinsi ya kuirudisha Betty iliokufa katika ubora wake atuelekeze maana nimesoma mtandao nmekutana na njia ngumu kidogo naombeni msaada wenu.
Wadau wahii forum mm nina karibia kuhitimu chuo katik fun ya uwalimu wa geography and history ngaz ya dgree natafuta kaz maeneo ya mbeya kwa kipato chochote kile ili niwe busy tu kuliko kukaa bure wasiliana nami kwa simu nmba 0755638950
Tangazo
Kesho kati ya saa sita na saa tisa, patakuwa na joto kali sana linalohadiriwa kufika nyuzi joto 40,
Hivyo utulie nyumbani au ukajitulize kwenye fukwe za bahari,
Kwa wale watakaoukuwa nyumbani hakikisheni watoto wanaogeshwa kwa maji baridi tena mara nyingi.
Madirisha yote yaachwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.