Michael S. Ni muigizaji mzuri akionesha upendo wa dhati kwa kaka,rafiki,hata watu ambao hakuwa na undugu nao. Ametufundisha kumtumia mtu kulingana na uwezo na akili yake.
Proffesor. Si mbaya sana ila ameonesha uoga hadi kufikia hatua ya kutetemeka pale ambapo mipango yake inapotaka kuvurugika...
Hisia kama hizi ndo badae huibua mambo ya ajabu yasiyo na faida kwako na kizazi chako..
Mpende mkeo kwa moyo wako wote aisee tamaa za macho zisikuzingue .. huyo ndo Mungu kakupa na kawapa watoto.. pia tulia mlee watoto
Chief nadhani wewe ndo uache ushabiki mandazi na unavyoonekana hujawahi kuuguliwa na ukakuta bili ni M10 au zaidi.. nakuhakikikishia hiyo Mil 1.5 (ambayo inajumuisha watu 6) ni ndogo mno ukilinganisha na huduma za afya zilivyojuu ampapo mtu anaweza kutumia hata zaidi ya mara zote ya...
Uko sawa mkuu..
Tatizo WaTz wengi hatuna elimu ya Bima ya afya..
Mtu anakwenda kukata bima ya afya baada ya kuumwa.... akikuta kuna taratibu zimewekwa na anatakiwa kuzifuata anaona kama anaonewa na kulalamika ovyo.. Ukifanya mlinganisho na nchi nyingine BIMA ya afya ya Tanzania NHIF ni dezo dezo...
Salaam wana Bodi.
Kwanza niwape pole na uchovu wa majukumu halali ya mchana kutwa.
Niende moja kwa moja kwenye lengo la bandiko hili. Nikiwa mdau kindaki ndaki ya Jumuiya hii ya jamii forums nilishtushwa na kichwa cha Uzi mmoja unaosema "JAMII FORUMS INAWEZA KUTOWEKA HEWANI" Ebana yaan nilihisi...
Serikali mbona ilisha
Serikali mbona ilishafungua mipaka coz kuna ki-crip nilikiona cha waziri mwenye dhjamana na Kilimo akisema "serekeli" haijazuia kuuza mazao ya kilimo nje ya TiiZii..
N way Jembe halimtupi mkulima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.