Wakuu tangu ile October nilipochovya kidole changu cha mwisho baada ya kutumia kadi yangu ya kupiga kura..
Leo baada ya speech ya uzinduzi wa ujenzi wa Fly over [Ubungo] nimejikuta naitafuta na kuanza kuifuta vumbi....
Miezi zaidi ya miwili sasa umeme Siku moja upo inayofua haupo hususan mda wa mchana
Kwa mwezi mmoja tunapata umeme siku 14
Viwanda huwa vinachakata raw materials ili kupata bidhaa mwisho..
Kuna ndugu zangu wa welding nao no viwanda pia.. Nasema hivi kwa kuwa huenda kwenye viwanda vikubwa...
Wana JF natumahi wote mko poa..
Sina nia ya kumjua Mshana kiundani kwani hata nikitaka huenda akazuia ufaham wangu wa akili...
Mara kadhaa sasa amekuwa akipotea humu Jukwaani na hili linatambulika waziwazi kwa kuzimiss post zake..
Tukiachana na wasifu wa kazi yake "mortuary attendant"...
Ni mda sasa huyu jamaa kashatutoka akilini...
Hata mada zake kidogo zimesimama...
Je hukumu ilishatoka au ndio zile zetu kibongo bongo tuna switch mada..?
Kama bado hukumu, vipi mada yake imetekwa na ipi..?
Zingatia jamaa alivyowapa watu headlines hususan kwa Wanaume wa Dar....!
Jana nikiwa natoka Moshi to Arusha mida ya jioni, Nilikwea basi flani lililokuwa limetokea Dar - Arusha
Ile nimekaa nikajikuta nimetupa mijicho yangu yote kwenye ka screen kalichokuwa mbele yangu kwa juu
Japo mimi sio mpenzi wa Bongo Movies ila nilikiwa sina budi kuitazama filamu iliyokuwa...
Leo kuna msafara umepita Arusha - Moshi road hata sijauelewa..
Nilizea kuona V8 zikiongozana..
Leo nimeona Rav 4J milango mitatu, Suzuki flani old model, Passo mbili na ka gari kanafanana na vitz...
Mbele kulikuwa na gari ya Polisi kingora kikubwa na Pikipiki.. Na nyuma gari Moja ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.