Habari wakuu. Kama kuna mtu ana uzoefu wa kununua bidhaa Alibaba huwa ukishamalizana na muuzaji anakuomba adress ya agent ambaye atakusafirishia mzigo wako kutoka China hadi Bongo.. Kwa uzoefu wenu ni Agent yupi bora na anayeaminika katika kufanya kazi hiyo?
wale wapenzi wa series hii apa...
Mshauri wa maswala ya kifedha anaiingiza familia yake kwenye biashara ya madawa ya kulevya ambapo anatakiwa kutakatisha $500 Millioni ndani ya miaka mitano kutoka kwa wauza madawa ya kulevya (Caretel) wamexico... je ataweza kuikwepa mikono ya FBI na kuweza...
Mshauri wa maswala ya kifedha anaiingiza familia yake kwenye biashara ya madawa ya kulevya ambapo anatakiwa kutakatisha $500 Millioni ndani ya miaka mitano kutoka kwa wauza madawa ya kulevya (Caretel) wamexico... je ataweza kuikwepa mikono ya FBI na kuweza kutakatisha fedha hizo ili kuiokoa...
wale wazee wa Action na Crime Searies icheki hii utaipenda... pakua bure kwa hii link... Ziko HD na Highly Compressed unatumia bundle kidogo Hunters Free Download
Sent using Jamii Forums mobile app
FOR LIFE ni tamthilia ya kimarekani iliyotengenezwa na Hank Steinberg, Ilirushwa na kitua cha terevisheni cha ABC mnamo Februari 11, 2020.
Tamthilia hii inahusiana na kisa cha kweli cha bwana Isaac Wright Jr.., ambaye alihukumiwa kufungwa kwa kosa ambalo hakulifanya. Wakati akiwa gerezani...
Kwa wale mnaotumia Simu za android kianzia 5.0 (lollipop ) na kuendelea mpaka 7.0 kumekuwa na tatizo pale unaposahau patten na ukafanya hard reset utakapowasha simu yako itakitaka uweke email iliyokuwemo mwanzo kwenye hiyo device na password. Kwa wale watu ambao hawako care saana na email zao au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.