Karibu MMG sisi tunasafirisha kwa ndege tu.Habari wakuu. Kama kuna mtu ana uzoefu wa kununua bidhaa Alibaba huwa ukishamalizana na muuzaji anakuomba adress ya agent ambaye atakusafirishia mzigo wako kutoka China hadi Bongo.. Kwa uzoefu wenu ni Agent yupi bora na anayeaminika katika kufanya kazi hiyo?
Wanauwezo wa kupokea kontena ngapi?Yaaani hadi alibaba mnataka agent.
Alibaba si uwe tu na sanduku la posta
🚮🚮🚮Mm ni mtu mzima boss. Ninapochangia kitu, nakichangia nikiwa nawaza kumsaidia mtoa mada.Wanauwezo wa kupokea kontena ngapi?
Ushawahi agiza Alibaba? If yes basi utakuwa unaelewa umuhimu wa agent if not basi utakuja hapa tena kuomba msaada wa agent.Yaaani hadi alibaba mnataka agent.
Alibaba si uwe tu na sanduku la posta
Nimeagiza mara nyingi boss. Nadhani sijaelewa content au size ya mzigo wake. Angefunguka hapo. I use alot alibaba. Kwa vitu vyangu vya gari au nyumbani.Ushawahi agiza Alibaba? If yes basi utakuwa unaelewa umuhimu wa agent if not basi utakuja hapa tena kuomba msaada wa agent.
Ww unazungumzia AliExpress na sio AlibabaNimeagiza mara nyingi boss. Nadhani sijaelewa content au size ya mzigo wake. Angefunguka hapo. I use alot alibaba. Kwa vitu vyangu vya gari au nyumbani.
Na pia natumia alibaba popote napoweza kuaccess post office. Hata nikiwa safari. Naifahamu vizuri
Yaaani hadi alibaba mnataka agent.
Alibaba si uwe tu na sanduku la posta
Mkuu, umechanganya alibaba na aliexpres
Kuna huyu Skycargo.com wa kariakoo aliwahi kuja hapa kutangaza Kazi hii.Habari wakuu. Kama kuna mtu ana uzoefu wa kununua bidhaa Alibaba huwa ukishamalizana na muuzaji anakuomba adress ya agent ambaye atakusafirishia mzigo wako kutoka China hadi Bongo.. Kwa uzoefu wenu ni Agent yupi bora na anayeaminika katika kufanya kazi hiyo?
Mhhh too sweety to be trueAlababa ni mtandao wakizamani sana kuagiza hadi upate mzigo inachukuq muda Sana sikuzi tunatumia mitanda kaka www.digxam.site unalipia kwenye mabank ya hapa ndani pia wajapan wanagawa baadhi ya vitu bure kama laptops na simu kitu ambacho uweki kukipata huko Alibaba
Nilipata flash za Toshiba GB 32 10 bure, wale wanatabia wakiamka kwao huku ni usiku wanatoa offa ukiwa macho kaingia uko comment unapata flash disc 10 hata nikiuza elfu 10 nabei gani.Mhhh too sweety to be true
Sijachanganya mkuu. Mimi sio hizo tu natumia hadi Tao bao hawa ndio huwa natumia adress ya mtu china then anapelekea shipping company.Mkuu, umechanganya alibaba na aliexpress
Hiyo avator ya kijapani na wewe ni mwenzao?Nilipata flash za Toshiba GB 32 10 bure, wale wanatabia wakiamka kwao huku ni usiku wanatoa offa ukiwa macho kaingia uko comment unapata flash disc 10 hata nikiuza elfu 10 nabei gani.
Habari,Habari wakuu. Kama kuna mtu ana uzoefu wa kununua bidhaa Alibaba huwa ukishamalizana na muuzaji anakuomba adress ya agent ambaye atakusafirishia mzigo wako kutoka China hadi Bongo.. Kwa uzoefu wenu ni Agent yupi bora na anayeaminika katika kufanya kazi hiyo?
Okay huwa unachagua shipping method option gani ? Maana bei za shpping zimechangamka na kila ukiongeza item bei inaongezekaSijachanganya mkuu. Mimi sio hizo tu natumia hadi Tao bao hawa ndio huwa natumia adress ya mtu china then anapelekea shipping company.