Search results

  1. L

    Elections 2010 Jk maendeleo ya tanzania kwa miaka yako kumi yanapimika kwa kauli hii?

    Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM wakati wa kampeni zake aliwahi kusema maneno haya baada ya kuulizwa swali na mtanzania mmoja Je Mheshimiwa JK watanzania wakukumbuke kwa lipi katika uongozi wako uliopita na ujao kama utashinda? Jibu la JK lilikuwa kama ifuatavyo "WATANZANIA WANIKUMBUKE KWA...
  2. L

    Regional integration where is it taking us

    JF members do you know the reasons behind fast tracking of regional integration across the world; EU, USA, ASIA, AFRICA (EAC, ECOWAS, SADC, COMESA)? Preparation for a single world government Single world Currency Then a number of nasty things will happen to the world; nations loosing their...
  3. L

    Jakaya and the executive branch of the government 2010 to 2015

    The main role of the executive branch of the government is to implement laws and policies made by the legislative branch of the government. Difficult talks for you, you neither respect the laws nor the laws makers: The Great thinking in your mind is how to manipulate the laws and the laws...
  4. L

    Tunajifunza nini katika uchaguzi wa ccm wa spika wa bunge la kumi

    Serikali ya CCM inajipanga kuongoza nchi kupitia Bunge Uteuzi wa Anna wawili na Kamba mmoja ni kutengeneza mazingira ya kuvunja nguvu za bunge na kufanya bunge na serikali kuwa kitu kimoja na kuongea lugha moja. MWISHO WA CHECKS AND BALANCES. Hii ina maana kwamba spika ajae hata ruhusu hoja...
  5. L

    Kifo cha CCM kinasababishwa na mambo yaliyo juu ya uwezo wa chama kuzuia

    Mfumo wa serikali ya CCM ambao unawakilisha na kulinda maslahi ya matajiri na wafanyabiashara wachache (Rostam, Lowasa, Manji, Baricks, Ortello Business Corporation, Vodacom na wengineo). Hili hawawezi kujitenga nalo na ndio msingi mkubwa wa kifo cha CCM: mfano mzuri kitendo cha kumtetea Chenge...
  6. L

    Elections 2010 Ccm prepared ahead of time to win the 2010 parliamentary and presidential elections

    Tanzanians will go to the polls on 31 October 2010 to elect the President of the United Republic of Tanzania, President of Zanzibar, Members of Parliament and Members of the Zanzibar House of Representatives. This is a roundup of blog posts about the elections. Tom Rhodes reports that the...
  7. L

    Elections 2010 Jakaya anaelekea kudesa sera za slaa bara dogo la mawaziri

    Pamoja na Sera za msomi Dr. Slaa kuwa nzuri na Mkwere Kikwete kuzikubali, atakuwa na ubavu wa kujitenga na mafisadi na kuteuwa baraza dogo la mawaiziri pamoja na speaker wa bunge ambaye si fisadi? Wanajamii mmelisikia hilo kupitia vyombo vya habari vya chama cha majambazi? Na je Kikwete anaweza...
  8. L

    Elections 2010 What did major political parties did stand for in the 2010-make own analysis

    POLITICS IN THE WORLD ARE DIVIDED INTO TWO MAJOR SIDES THE LEFT AND THE RIGHT CCM-POLITICAL RIGHT-WHAT IS IN THE POLITICAL RIGHT OF THIS PARTY AUTHORITY-CCM assumed that they have the right to influence the behavior of Tanzanians by forcefully making them acknowledge and obey that they are...
  9. L

    Elections 2010 Justification for establishment of an independent national election commission

    THE FOLLOWING ARE SOME OF THE REASONS I BELIEVE JUSTIFY THE DISMANTLING OF NEC TO PAVE WAY FOR AN INDEPENDENT ELECTION COMMISSION MEAN WHILE A PEOPLES INTERIM ELECTION COMMISSION BE APPOINTED THROUGH THE ACT OF THE PARLIAMENT WITHOUT GOVERNMENT INFLUENCE DUE TO IGNORANCE AND LACK OF...
  10. L

    Elections 2010 Kikwete rais mteule asiye na watu wa kuwaongoza ni mwanzo wa misiba na taabu

    Ni ajabu, aibu, na kukosa uelewa kwa mtu anayesadikika kuwa na digrii ya uchumi (UDSM) (ambayo si amini kama aliwahi kupata) Kukubali kupewa urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania huku akijua ameshindwa katika uchaguzi. Leo hii Tume yake ya Uchaguzi imemtangaza kuwa raisi lakini akiwa HANA...
  11. L

    Kuanzishwa Kwa Ufalme wa Kitanzania na Wanasiasa wa CCM Hatukubali

    Uchaguzi huu wa mwaka 2010, uwe mwanzao wa watanzania kukataa nchi yao kugeuzwa kuwa ufalme kwa misingi ya kwamba wachache (Kikwete, Lowasa, Chenge, Mramba, Karamagi, Rostam) na wengine wasiozidi mia pamoja na watoto wao ndio wanaoweza kuingoza hii nchi. Watanzania ni vyema kutolinyamazia hili...
Back
Top Bottom