Inawezekana huu utafiti aliufanyia ofisini, kwani ninavyoelewa mimi Zanzibar hakuna shule za bweni, kama zipo basi ni mpya na chache (kuanzia 2005) ambazo haziaanza kutoa mashoga kama anavyodai moja ya sababu. Hatukatai kama hakuna mashoga, mashoga wapo kila pahala, hata anakotoka yeye Dr...
Nakubaliana na wewe, Nyerere ameongoza wajinga na akaendelea kututia ujinga, kwani alihakikisha wa-Tz hawajui chochote kinachoendelea duniani, hebu angalia nchi gani duniani inapata uhuru baada ya miaka zaidi 30 haina TV yake ya taifa!, hata kinchi kidogo kama Zanzibar kimekuwa na TZ tangu 1972...
Una hakika kuwa haya hayakuzungumzwa? au aliyezungumza wakati huo hukumpenda? au chombo alichotumia kutoa habari hukukiamini? haya yapo tena mengi, na hao munaowaona watukufu hizi ndio kazi zao.
Hizo takwimu za waislam na wakristo umezitowa wapi? sensa ya Tanzania kwa miongo kadhaa ilishaondoa kipengele cha dini. Ni uongo mtupu!, labda rejea sensa ya mwisho ambayo iliangalia na dini za watanzania, halafu fanya forecast, usisahau kuwa waislam wanaoa wake zaidi ya mmoja na kuzaa watoto...
Mbona mekaa kimya, au jini mwamogopa?
hata kama hana haya, vidonge vyake tampa
mie sioni vibaya, kwa mola wangu naapa
dawa ya baya ubaya, si museme hapa hapa!
kama hili hulioni, macho yako yana kutu
meliona mie jini, langamiza wetu watu
zaidi ya subiani, kiziwi kupewa tutu
jini hili jini gani, chano chake damu zetu?
Mwaka 2001 baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2000, chama cha CUF kilifanya maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu kule Zanzibar, kwa bahati mbaya jeshi la polisi kupitia amri za wakuu wao BWM/OAL na OM wakafanya mauaji ya watu wasiopongua 23 (kwa taarifa za serikali) na 60 (kwa taarifa...
kunguru ana wenyewe, humuwezi asilani
atakutia kiwewe, kuzidi umasikini
ulimtega mwenyewe, sielewi ni kwanini
una matatizo wewe, kutojuwa vya thamani?
limtegea mizoga, hilo pia ni tatizo
nyamu tamu ametega, jamaa kaja anazo
wajua kunguru mwoga, ila bingwa wa mizozo
amevunja lako bega...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.