Wanajukwaa habari za Leo, ninaomba msaada wa mawazo, faida na hasara, ya kusoma Master degree Open University, nataka kusoma degree ya Biolojia, kwakuwa watoto bado wadogo, pia nataka kuwekeza kiuchumi kwenda shule full time inazuia baadhi ya haya mambo kwenda smoothly. Naombeni mchango wenu wa...
Naomba msaada kwenye hizi sekta mbili, ninataka kuendeleza mradi wa ufugaji wa samaki, nahitaji mafunzo yatakayonisaidia kuendeleza huu ufugaji, pia nataka kuanza shamba la mipapai, naombeni uzoefu kwa anayefahamu.
Shukrani sana
Karibu Chai sasa, Yeah it's late but it's weekend for Heaven Sake. Recipe from Fauzia Kitchen Fun for Mandazi in Google, nimetumia vikombe sita vya ngano, kijiko kimoja na nusu cha hamira, kijiko kimoja cha iliki, robo kikombe cha sukari, pakti 4 za nazi, nimeongeza maji kidogo sana...
Jamani jana nilitengeneza cocktail ya Konyagi, Asali na Sprite sasa tatizo sikuenjoy sana kichwa kikaanza kuuma, Je kuna yeyote ambaye amewahi kutengeneza Cocktail ya asali na Kilevi? Sio mahali pake lakini sioni wapi hapa JF kwenye utalaumu huo! So please help me [emoji7]
Jamani, mie nilipata mwenza hapa, nikawa nafurahia mazungumzo baada ya habari, tatizo lilikuja pale nilipokuwa mkweli kwake kwamba kwa hakika hawezi kunila kwasababu nilijua kila nililokuwa nikilisema Kwake halikuwa na ukweli, mie ilikuwa fab time to chill after stress za siku nzima, lakini pia...
Kuna series inaitwa Unguarded hapa African Movie Series, kwakweli inafundisha sana. Kwa wale wanaoweza kutazama ni vyema tukatazama tujifunzage kwakweli. Usiku mwema na Njozi njema kwenu mnaota muda huu.
Jamani nakubaliana na swala la uvumilivu kwenye ndoa, lakini nadhani imefika wakati tuzikubali divorce pia kama kitu cha msingi na muhimu ndoa zikiwa hazina mwelekeo, uvumilivu wakati mmoja wenu anaumia haina msingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.