hahahaha serious, hawakuwa nayo hata mfukoni wakachungulia? Tatizo wanakuja wamejiandaa na miswali migumu halafu nyie mnawavuruga kwa kuwapa mepesi.
hope hakukuwa namchaga kwenye hiyo interview.
Asante sana mkuu. Shida ni sehemu gani ya kupata hizo tofali kwa DAR? Fundi niliyemtumia ni mzoefu sana ana age almost 70 na mjenzi toka ujana wake. Nilishangaa kukuta msingi hauna hizo colums siku nafika site namwuliza anasema hakuona haja ya kuweka kwa sababu udongo ni mzuri sana hivyo...
Mkuu tafuta fundi mwingine pia akupe hesabu pia. Mimi mwenyewe nilikuwa najenga maeneo hayo ya mbweni mpiji, fundi alinipa hesabu ya mifuko 405 ya cement nikawaza sana kama wewe. maana hakukuwa na uhalisia wowote. Nikapewa fundi mmoja hivi ni babu mtu mzima hiv akanipigia hasabu ya mifuko 245...
1. Ni Engineer mwenye mhuru na amesajiliwa na board
2. Gorofa moja tu mkuu
3. Yes ameprovide structural drawings
4. hatujafanya soil analysis
Asante mkuu for your concern.
Samahanini wadau naomba kujua hivi kujenga gorofa bila kusimamisha nguzo za zege zile. Uimara wake ukoje?
Engineer anadai kwa aina ya udongo ukiwa na matofali imara yakajengwa kwa kulaza inatosha.
Ni kweli inaweza kuwa imara? Eneo ni tambarare.
Naombeni mawazo yenu
Wanawake huwa tuna mda wa kutosha kulea watoto, hata ukiaga ofisini mtoto ana shida ni rahisi kupewa ruhusa ,ukilingnisha na mwanaume, tupo more responsible zaidi. Kama mwanaume anajali kwa sapot ya hela. wewe tena unataka ageuke kibegi hiyo ni shida!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.