Kupgwa kwake ndyo mnatafuta kk cyo!!! Siasa bado sana vjana ccm hyo namba nyingne kabsa na wala hamuwez kuishinda kwa vtamaa vya vibillion kazaa tu za kuhongwa il mtu awe mgombea wenu na watu ambao wametoka mbal na chama mnawafukuza b'se of one person:-)!!!? Bado sana
Huwez ukaongoza nchi kwa kuongopa kwamba nkifanya hv wapizan watasemaje ila utaongoza kwa taratb ambazo hauonei mtu. Nchi n kama familia kwa maana ya kwamba baba ndye kiongoz na mama akiwa malikia mkuu(msaidz mkuu) na watoto kama wategemez(wasaidz wadogo) na cku zote baba utapambana kwa akil...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.