makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,448
- 81,966
Tushapelekwa chaka...Hilo ndo jina la DJ Khaled?
Tushapelekwa chaka...Hilo ndo jina la DJ Khaled?
Me nilijua ni muislam wakimorroco kumbe jina lake c Khalid?
Hatengenezi beat wala hatungi nyimbo.. anatoa mawazo au jina la nyimbo na kutafta biti kali kwa maproducer mbali mbali akiiskia anawaza nani anafiti apa fresh anawaita then ana changia maujuzi kidogo kwenye biti nyimbo na vionjo... lakini hamna kitu anafanya complite. baada ya apo anapga promo ya nyimbo na kuuza
naona uko makini sana mkuu.Bro, ungebadili hapo kwenye jina maana dizain kama umepoteza hiviii.
Point of corection it's major key alert and not major bag alerti feel like pac, i feel like biggie
i got keys
im so hood
fed up
major bag alert
THAT RANGE ROVER CAME WITH STEPS
MAJOR KEY ni jina la album yake ya 9 na MAJOR BAG ALERT ni wimbo ndani ya album yake ya 10 iitwayo GRATEFUL kawashirikisha MIGGOS.Point of corection it's major key alert and not major bag alert
Lol.... lazima niwe makini.naona uko makini sana mkuu.
Mkuu heb tuje kibiashara zaidi, sasa nani anakua mmiliki wa nyimbo hapo kati ya yeye na hao anawashirikisha? Mapato wanagawana vipi? Show inakuaje endapo ku-perform watahitajika wawepo crew nzima walioshiriki kwny colabo? Na ningependa kujua je haijawahi kutokea skendo yoyote km alishawah kuwadhulumu wenzake mapato?
Dj khaledSay my name baby..