Tetesi: Akaunt ya Mange insta yadukuliwa

Status
Not open for further replies.
Nashangaa sana watu wansema eti.mange ana matusi hivi hayo.matusi hamtukanagi huko.mtaani?? Je hamyajui? Je siku mkitibuana na binadamu wenzenu je hamyatamki hayo??
Ni upuuzi kufananisha! Kuna watu wana matuso lakini familia zao hazijui na wana heshimiwa sasa Mange ana followers ambao ni kaka zake wakuzaliwa naye na ndugu pia na mtoto wake mkubwa yupo kwenye social media pia
 
Mkuu aliesema anamtafuta ni nani? Kuna kauli zinaongelewa na viongoz wetu kama watoto ujue yule akipata tatizo mtu wa kwanza kuhisiwa na serikali yetu kila uchwao wanamlilia tayar watu wanajua ana bifu kubwa na serikali.
Kwa asiyemfahamu Mange atahisi ni serikali lkn kwa anaye mfahamu vzr atajua kuwa ana maadui wengi sana tofauti na serikali
 
Nashangaa sana watu wansema eti.mange ana matusi hivi hayo.matusi hamtukanagi huko.mtaani?? Je hamyajui? Je siku mkitibuana na binadamu wenzenu je hamyatamki hayo??
yamezidi yale ya yule mh mbunge wa lile jimbo kule kanda ya kati???
 
Ukiangalia trend ya wafriika kufikir kuwa karibu na msanii mkubwa wa usa ni kufanikiwa basi leo wiz kid na davido tungewaona kwenye bilboard top 100 za Usa acha hizo picha mkuu zisikupe iman bado sana wale jamaa wanatuchukulia sisi local tu Akon peke yake kafanikiwa Ay aliimba sana na kina sean kingston yupo wap? Wiz kid kafanya ngoma na drake hata top 100 haikuingia na drake yupo juu zaid ya ross
najua ili povu ulilolitoa anagekua kafanya same thing yule mtoto wa kariakoo lingegeuka Mchuzi.
yani haters bana hahahhhaha
 
Kuna watu wana midomo jasiri kuliko ubongo,hivi ulishawahi kugombana na mtu ukimcheki mwili wake umeogopa lakini mdomo unatema cheche balaa.
Upinzani tumshauri huyu binti atukane serikali kivyake asiwe connected kabisa na siasa. Hebu assume binti yako anamrushia matusi mtu aliyegombana naye kwa interest zake binafsi halafu wewe umekaa pembeni unasikia, huyo anayetukanwa atakuchukuliaje.
 
Mambo vipi wapendwa. Napenda kuwapa tetesi zinazoabza kusambaa mtaani kuwa mange hajulikani alipo na account yake ya insta imedukuliwa na "watu wasiojulikana" hii ni baada ya kuanza kupost matusi na kuandika makorokocho kama mtoto anaeanza darasa la kwanza. Kuna video hapa inagoma ngojeni niiconvertSnitch
Hahah Mange kimambi mwanasiasa wa kujitegemea.
 
Kuna watu wana midomo jasiri kuliko ubongo,hivi ulishawahi kugombana na mtu ukimcheki mwili wake umeogopa lakini mdomo unatema cheche balaa.
Upinzani tumshauri huyu binti atukane serikali kivyake asiwe connected kabisa na siasa. Hebu assume binti yako anamrushia matusi mtu aliyegombana naye kwa interest zake binafsi halafu wewe umekaa pembeni unasikia, huyo anayetukanwa atakuchukuliaje.
we jinga, upinzani una vikao halali vinavyotambuliwa na msajili. hayo ya mitandao siyo upinzani
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom