Habari wakuu....
Natamani nianze rasmi kilimo hiki, naomba ushauri kuhusu masoko na bei zake huwa zikoje huko masokoni.....
Niko Morogoro mjini.
Karibuni.
... mwanamke mmoja mrembo kuliko wote Duniani. Mwanamke huyo aliwatesa sana wanaume kwa kupendelea sana........
(Endeleza stori hiyo, kila mtu aendeleze atakapoishia mwenzake)
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Natoka zangu Moro naenda Dodoma na vitz yangu ila napitwa na kila gari[emoji26][emoji26]....
Ikija rav4 inapita, ikija Ist inapita, likija basi linapita ukishindana nayo unaishia kujichosha tu [emoji22].
Kila root najiona mimi wa mwisho tu[emoji134]
Nakiuza hiki kigari nije huko huko...
Wakuu
Nimebahatika kupata gari hiyo Vitz old model miezi michache iliyopita, nimeona nije niulize maswali kuhusu hiyo gari mabosi mnaaita "babywoka"
1. Naweza kusafiri nayo from Dar - Mbeya non stop?
2. Vitu gani kiufundi niviepuke kwenye matumizi ya gari hii!?
NB: Engine CC 990, Piston 4...
Habari wakuu!
Nina Mil 4, nahitaji Gari ya kutembelea siyo ya mizigo.
[emoji1314]Gari iwe na Cc kuanzia 990 hii iwe kuanzia namba C.
[emoji1314]Gari kuanzia Cc 1200 siangalii namba sana ila iwe nzuri.
[emoji1314]Iwe Ac inafanyakazi
[emoji1314]Iwe full document
[emoji1314]Isiwe na madeni
Nipo...
Habari wakuu!
Kwa kipato hicho tajwa hapo juu, ni gari aina gani itanifaa na nitaweza kuimudu kwa pesa niipatayo cash kwa mwezi?
~Passo siitaki
~Gx100 siitaki.
~porte siitaki
~stalet siitaki
~duet siitaki
NB: MATUMIZI YANAWEZA KUWA KM20< kwa siku
Karibuni kwa mawazo...
Habari za muda huu madaktari,
Napenda kupokea ushauri wa kitabibu kutoka kwenu maana kuna mtoto wa Dada yangu alipitia yafuatayo wakati wa kuzaliwa:-
1.UJAUZITO zile tarehe za makadirio zilivuka, mtoto alizaliwa baada ya wiki mbili mbele zaidi. (zaidi ya wiki halali)
2.KUTOKULIA alipozaliwa...
Habari za jioni wakuu!
Mie kila nikitunza pesa ili nije ninunue kitu fulani ile pesa naishia kuitafuna kabla ya lengo husika, hata
Matatizo au shida huwa zinazidi mpka inanipelekea kuzitumia pesa hizo!
Wewe unasave vipi pesa bila kuzitamani kuzitumia?
Nilipanga mwaka huu niwe hata na...
Kwakuwa nchi yetu bado changa kiuchumi ni bora Serikali ingepiga marufuku uuzwaji wa pombe nchini ili watu wafanye kazi. Watu wengi wanashindwa kumudu majukumu mbalimbali kutokana na unywaji wa pombe, hivyo hupelekea kutokufika malengo yaliyokusudiwa.
Hivyo ushauri wangu kwa Serikali ipige...
Hizi ndege mfano Bombardier na wenzake zinawezaje kukabiliana na upepo mkali zikiwa angani? Let's say kimbunga.
Na kuna mtu alisema ndege ndogo huwa zina mitikisiko sana, shida huwa ni nini huko angani?
Kuuliza si ujinga!
Karibuni wajuzi.
Mpka sasa huwa sielewi kwanini kuna maji chumvi na maji baridi!
Naomba kufahamishwa kwanini kuwe na maji chumvi na maji baridi wakati yote yanatoka ardhini,
Kwanini isingekuwa maji chumvi pekee kwani bahari ndio imechukua % kubwa Duniani? Na ukizingatia maji yanasafiri kutoka sehem moja hadi...
Hivi ni kwangu tu au hata kwako? Nimeingia playstore nikiwa na lengo la ku-update Facebook chakushangaza ipo Facebook lite tu!
Nitaupdate vp app yangu wakuu?
Mgegeda vizuri hata kama akiolewa?
Nina ushuhuda kwa wadada kama wanne hivi walio olewa wanaendelea kutafunwa na washkaji zangu, tena wao ndio wanahuo uhitaji......naona imekuwa desturi sasa!
Ambao mnaoa mabikra mnaweza kuwa salama zaidi, ila wenzangu na mimi unakunywa soda ilishafunguliwa...
Mimi nasimamia biashara zangu nyingi tu, zenye faida japo sio kwa 100%
Wazo langu ni
Mteja anakuja kwangu, anaweka pesa yake mfano 100,000/=
Halafu kila mwezi atakuwa anapata commission ya 15% kutoka kwangu!
Hii itafanyika kimkataba na kisheria zaidi....
Na mteja huyo atakuwa na uwezo wa...
Huyu Mtu hata mechi ikiwa mbaya, huwa anaifanya inakuwa nzuri!
Yaani kuna kipaji na Elimu, sasa huyu vyote anatumia....
Aliemuajiri AZAM kongole kwake!
........
Hili ni goli la Simba vs Nkana la kusawazisha mfungaji akiwa Jonas Mkude
(in mpenja voice [emoji1787][emoji1787][emoji1787])...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.