Wanabodi habari zenu!
Kuna tukio nililishuhudia jana Taasisi ya Mifupa Muhimbili maarufu kama MOI, napenda niwashirikishe tujadili hizi tabia zinazokera za viongozi wetu, hasa wa kisiasa.
Wagonjwa tulifika kuonana na daktari mmoja wa mifupa ambaye alikuwa na clinic hiyo jana. Tulikuwa wengi...
Wana MMU habari zenu?
Nianze kwa kuwatakia heri na fanaka katika mwaka mpya wa 2013.
Hili ninaloliandika limemtokea jirani yangu, ambaye pia tuna mahusiano ya kiofisi zaidi - niliwafanyia kazi fulani ofisini kwao hivyo tukajenga mawasiliano ya kikazi, na kwa vile ni majirani basi kukawa na...
Habari wana MMU?
Naam, mwisho wa mwaka ndio huo na festival season yakaribia.
Huwa napenda kusafiri kipindi hiki, ila kwa sasa naona nimeishiwa plans.
Naomba kwa uzoefu wenu mnipe ushauri wa maeneo ambayo mnaona yanavutia na yatatufaa mimi na laaziz wangu twende kupumzika. Iwe ni ndani...
Kuna jamaa ana ugomvi na girl wake. Kanisimulia nimecheka mno ndipo nikamshauri.
Ni hivi:
Huyo girl alienda home kwa boy akalala huko, wakado. Asubuhi wakawa wamepanga kwenda town kununua vitu fulani. Dada akaamka akaoga akajiandaa tayari kwa kutoka. Yule kaka yeye si akakataa kuoga, eti...
Wadau wa MMU naomba ushauri wenu.Kuna dada ana miaka 23, ana mpenzi ambaye alianza naye uhusiano miezi minne iliyopita. Kabla ya hapo alikuwa na uhusiano na mvulana mwingine ambao ulivunjika, akakaa mwaka mmoja na nusu ndipo akaanza uhusiano na huyu mpenzi wa sasa.Hivi karibuni alienda kupima...
Habari wana MMU!Naomba ushauri wenu.Nimenenepa sana (tumbo, mikono, miguu, mgongo), pia nilikuwa sijashiriki tendo kwa miezi kadhaa, nilikuwa safarini. Sasa nimerudi, kwa kweli nimekuwa mzito sana kitandani. Nachoka haraka mno, miguu siwezi kuipanua vizuri, siwezi kujikunja wala kujizungusha...
Wana MMU, Salaam! Nimewahi kusikia kwamba kuna dawa za aina hii ambazo baadhi ya wanaume pia huzitumia pale wanapozungushwa sana na kunyimwa kupewa mambo na wanawake, hivyo huwawekea dawa, then wanawake huanza kuwashwa na kudai wenyewe d... kutoka kwa mwanaume. Je ni dawa gani hizo(kwa...
Wadau wa MMU habari zenu!Leo naomba maoni yenu juu ya hili, ninalifikiria sana na sipati jibu!Hivi una mpenzi wako wa kiume, wote mna sehemu mnazoishi (yaani kila mmoja amepanga kwake) hivyo mngeweza kwenda nyumbani mkadunguana vema tu, mnaaminiana. Sasa mmetoka mkaenda sehemu kupata dinner na...
Habari zenu wadau wa MMU?Nilikuwa na boyfriend kwa miaka mitatu, tukaachana ktk hali ambayo iliniumiza sana moyo wangu, nikawachukia wanaume.Nikakaa kwa miaka miwili bila boyfriend. Sasa akatokea huyu kijana, akanipenda, kwa kuwa nilikuwa sitaki kuwa naye nikiogopa kuumizwa tena, nikamwambia...
Wadau wa JF Doctor naomba mnisaidie.
Kwa kipindi cha takribani wiki mbili sasa jicho langu la kushoto limekuwa linacheza sana sehemu ya juu (inayoshikilia kope) na kusababisha jicho zima kucheza hadi wakati mwingine nalazimika kulifumba kwa muda. Hali hii imekuwa inatokea kwa vipindi tofauti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.