Nasema
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 556
- 344
Habari wana MMU!Naomba ushauri wenu.Nimenenepa sana (tumbo, mikono, miguu, mgongo), pia nilikuwa sijashiriki tendo kwa miezi kadhaa, nilikuwa safarini. Sasa nimerudi, kwa kweli nimekuwa mzito sana kitandani. Nachoka haraka mno, miguu siwezi kuipanua vizuri, siwezi kujikunja wala kujizungusha, nashindwa kushughulisha kiuno, etc! Kwa kifupi nashindwa kujituma kitandani, performance imeporomoka! Nimeanza mazoezi taratibu tayari, lakini naomba ushauri wenu ili niweze kumaliza tatizo langu kwa haraka zaidi! Nipungue na nirudie kuwa mwepesi kama ilivyokuwa hapo kabla.Asanteni.