A scam is a deceptive scheme or trick used to cheat someone out of something. Sasa refer kitendo cha kusema umeweka majina, Wakati kitu kilichokuwa provided ni Link za DC na MC tu.
Wakuu kwa bahati mbaya kioo cha kamera ya simu yangu aina ya Infinix Hot 11 (kamera tatu Kwa nyuma). Kimecrack hivyo kufanya camera kutokupiga picha angavu. Msaada Kwa wapi naweza pata replacement na itakuwa bei gani. Kwa Sasa nipo Mwanza.
Nikiwa kama mdau, ambae nimeanza ufatilia mziki wetu kwa muda mrefu sasa. Nanimekua mshabiki wa wasanii wengi toka game ya Bongo inaanza kolea mwaka 2001, No dhahiri na wazi kwa sasa hakuna msanii kama Harmonize.
Yaani kwa wapenzi wa mziki nadhani mshaelewa no one do the best, and good in EA...
Bonge moja la Diss Track, Maneno Majungu Tupa Chini, Mziki utawale, Nyapara kafunguliwa Pingu, Kutwa Tunachana Mawingu. Kama hujaelewa hii ngoma Endelee tu kusikiliza Baba lao
ERB kwenye web site yao, utaona firm ila mara nyingi Tendering Process huwa ni confidential katika baadhi ya stage,
mfano proposal writting ambapo shortlisted Firm ndo wanakuwa wanafahamu, hivyo usipokuwa kwenye ile chain
ya shortlisted firm inakuwa ni ngumu sana kufahamu. Ila Tanroads kwenye...
Zinapatikana Pharmacy nyingi tu. Usiache kutumia na hizo za maji ( Hope ulipewa Alerchek). Macho yashawahi nisumbua sana, mpaka nikavaa miwani, By the moment naenda CCBRT ndo nikagundua ni allergy. Nilitumia B-Complex, Cetrizine, Alercheck na ivydexnico eye drops.
Tumia dawa kama Cetrizine, inasaidia kupunguza kiwango cha histamine katika mwili. Histamine ndo kemikali ambayo inasababisha mzio (aleji), pamoja na hizo dawa walizokupa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.