Habari zenu wandugu, naomba kaushauri kidogo
Kuna demu nilikuwa na mahusiano naye kabla ya yeye nilizaa na mwanamke mwingine.
Huyu demu ambaye bado sikuzaa naye alinikubari sana kifupi wote hata niliezaa naye hivyo hivyo coz walikuwa wanagombana sana,.
Sasa ishu inakuja huyu demu alisafiri...
Naombeni msaada mwenye kujua tatizo hili:
Mafaili baadhi kutokufunguka na yote ni video player na kuandika hivi(0xc0000005) nifanyeje nimecheza nayo wee wapi au ni antvirus nitumie? Msaada naomba wanajamii
Ndugu wanajamii nadhani tumeona uzinduzi wa tour hii, but kuna vitu
Filam hii hatukatai itatangaza nchi, lakin mjomba Peter Producer kapiga pesa ndefu sana sio utani. Billion 7 lakujiuluza eti imechangwa na watanzaia?
Mbona hatukuona uchangishaji ukifanyika. Filam hii asilimia kubwa imebase...
Christmas ni sikukuu namba moja kubwa duniani coz mbaka wenye misimamo na din nyingine huiongelea sanaa, wengine husherekea kimya kimya mfano nchi za kiarabu ambazo zenye waislam wengi.
Watu wasiojua ndio sherehe ya kikristo inaoingiza mapato makubwa sana nchi nyingi kuanzia usafiri wa anga...
Bigbrother ni mchezo mtamu sanaaa, ni mchezo wa kutumia akili sanaa, ni mchezo wenye burudani ndani yake na ni mchezo wa kufunza jinsi ya kumsoma mtu kisaikolojia na hata kumhisi huyu mtu anawaza nini.
Naupenda sana mchezo huu naona jinsi nigeria inavyozidi kunawili kujulikana duniani kupitia...
Naona watu wanajiuliza hivi kati ya hawa wawili rayvan na harmonize nani yupo juu kimafanikio au kwamana ya utajiri?
Coz namuona mwijaku leo kwenye radio kataja wasanii wanamuziki ambao ni matajiri diamond, alikiba, harmonize na jux hivi ni kweli hawa ndio wanaongoza kwa utajiri?
Na...
Wanajamii wenzangu,
Naomba mnisaidie kuutambua wimbo, siujui jina but inadaiwa ameimba Mwafrika, sijui nchi gani hapa Afrika but Wahindi wameuiga kwenye movie inaitwa Gupt (wimbo unaitwa jina la hii movie Gupt) lakini original yake ni Afrika.
So kila niki-Shazam nipate zinazofanana nayo...
Kuna kitu nimekifanyia uchunguzi mara nyingi ni kuhusu hizi sherehe za msimu wa krismas christmas festival or carol wenzetu wanigeria wanaondoa udhehebu wanaungana wakristo wootee na kufanya tamasha la msimu huu kama unatumia dstv angalieni chanel imeandikwa nigeria festval kila mwaka kipindi...
Wakuu naomba ushauri wala sielewi hii kitu kuna mademu kama nane hivi ambao ni marafiki kwenye mitandao fb sasa nikajiunga na instagram so nikawaadd wote marafiki waliopo fb baadaye nikaona haina maana coz hao marafiki wa fb mbona ninachatinao huku fb so insta itabidi ni add wapya.
So...
Habari wanajamii, mwenzenu nipo njia panda kwanza nilizaa na demu ambaye tabia yake inanishinda na nikawa na demu mwingine ambaye anajua kabisa nina mtoto na anamjua demu niliyezaa naye but demu akakolea mbaya mbaka akadai nimchukue mtoto na sio siri mchezo kitandani anauweza sasa kuanzia body...
Wanajamii habari zenyuuu!! wajameni kuna kautafiti kapi eti unaweza ukagundua kwenye mitandao ya kijamii especially fb kwamba huyu mwanamke au demu anakupenda? coz mi binafsi kuna kautafiti nimekaona moja ni vijembe ingawa unaweza ukawaza pengine yeye mbona ana marafiki wengi kuliko wewe pengine...
Habari zenu waungwana,
Mwenzenu kuna msichana nilizaa naye ila sikutegemea yaani bahati mbaya ni mzuri but ana vidharaudharau ingawa mimi ananionesha kwa mbali.
Kwanza wakati mjamzito nilimlazimu atoe coz familia yake ni moto akakubali kutoa kumbe ananitega ikafika siku nataka twende akatoe...
Nilipata wasaa wakumtembelea bro Arusha kufika kama kawaida nilikaa kidogo japo miezi miwili basi pale kwa bro kulikuwa na ndugu wengine wamekuja pale mmoja nilimkuta mwingine alikuja baada ya mimi kutangulia wakawa wananigombania bila kujijua, kila mmoja ananiambia wewe sio ndugu yangu fanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.