Habari wadau.
Kumekuwa na mtandao wa vodacom Tanzania kuunga wateja wake kwa kuwabambikia huduma ya mdundo na kupelekea kukata watu salio la muda wa maongezi.
Hii huduma binafsi nimekuwa nikiungwa pasipo kujiunga kwa zaidi ya mwaka sasa nikiwasiliana na hao huduma kwa wateja wanadai...
Ugumu unatoka wapi wakati uvamizi wa clouds cctv camera mpaka leo ile video ipo
Kujipatia fedha kinyume cha sheria watendewa wapo na walipo deposite kunaonekana
Habarini wadau nimeona nianzishe uzi huu kusaidia watu tuweze kujuzana maeneo ya starehe yanaweza kuwa mapya au yazamani ila muhimu ni kwamba yawe ya gharama zinazowafaa watu wa kawaida na wa uchumi wa kati. Maeneo haya yanajumuisha; sehemu za kulala, Bar maarufu zilizo changamka, Maeneo mapya...
Habari wanajamvi nahitaji kupatiwa msaada ni nini hasa nifanye kisheria kudhibiti utiririkaji wa maji taka katika eneo la makazi yangu. maji hayo yanatoka katika kambi za jeshi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wiki iliyopita nilikua nikitokea maeneo ya pugu naelekea Gongo la mboto kuna mahali nilikwaa shimo barabarani kubwa kidogo likanipasulia tairi nilipobadili tairi nikaja kuhamaki mkanda wa kwenye gari yaani safety belt upande wa abiria umejikaza na kwakua sikua nimepakia mtu mwingine niliendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.